Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu sana tafadhali
Jamani naomba kuingia,
Wakubwa shikamooni, wadogo marahaba.
Mimi ni mgeni humu wa kuandika chochote ila ni mwenyeji wa kusoma. Naombeni ruhusa yenu kuingia humu.:help:
Nawasilisha.
Marahaba, mzima lakini?..nakukaribisha, hapa ni mwendo wa hoja, kama wakikuudhi waombee, usiwatukane, jarb kuwa na hekima tu, vinginevyo utamkasirikia mtu wala humfaham.
Umefanya uamzi bora kuungana na jamii pana ili uweze kushare mawazo yako...karib Ndeye..
Mkuu nimeshaanza kuwa na mvi kichwani, hivyo nastahili shikamoo afu ni ke.
Mkuu nimeshaanza kuwa na mvi kichwani, hivyo nastahili shikamoo afu ni ke.
karibu sana jf huko ulikotoka hawajambo?
Karibu sana JF na MMU pia...
Ahsante, hawajambo wanakusalimia. Niliwadokeza nataka kuja huku wakaniambia nina hamu ya ku shushuliwa. Eti ni kweli?
Ahsante sana watu8, wewe ni miongoni wa walionifanye nije huku.
Hahaha asante best...nina kitu gani kwani cha ziada ndugu yangu?
Hapana Mkuu, mm ndiyo kwanza nimeanzia huku. Huwa tunasoma sana mambo ya huku, kuna mazuri, mabaya na ma shushu. Ila napenda sana kusoma na najifunza mengi sana huku.
Comment zako me hoi.