hodiiii humu ndani

Miye mzima my kaka , nilibanwa na masomo na majukumu ya kule basi acha tuu..... Nawe mzima??
 
Miye mzima my kaka , nilibanwa na masomo na majukumu ya kule basi acha tuu..... Nawe mzima??

Pole na majukumu...ndio ukubwa huo

Mzima wa afya kabisa, Mungu ni mwema...
 
Hapa stori tu kula kwenu
afu umekuja na begi kubwa sijui unakaa mwaka au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…