[emoji3] [emoji3] Kama mm ndio mgeni kwa kauli hii nageuzia mlangoni ata ndani siingiiMgeni mbona huna kamba mguuni
invest what you are willing to lose
Pambana na hali yakohabari wana jf..poleni na majukumu ya kila siku na pilika pilika za hapa na pale katika maisha haya..mimi ni mgeni humu japo nmekua nikipitia pitia baadhi ya nyuzi uku ndani kwa muda kidgo..naomba kukaribishwa kama member wa umu ndani..kwa ajili ya kishare na kuombana ushauri kwenye mambo mbali mbali ya dunuani. ahsanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa usalama wako ingia tu ndani![emoji3] [emoji3] Kama mm ndio mgeni kwa kauli hii nageuzia mlangoni ata ndani siingii
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya kijana nenda kalale mimi ni mlinzi wenu.