Hodiiii!

Mchumia Rungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
1,438
Reaction score
826
Hi JF members,

Nimeijua JF muda mrefu, na nimekuwa nikiwasoma sana. Yapo mengi ya kujifunza hapa mahali ikiwa ni pamoja na kuvumilia matusi au watu wenye mawazo tofauti na yako.

Naipenda JF na ninawapenda wana JF ndio maana nikaona niungane nanyi so that we can exchange different issues rather than just reading without putting my idea contribution.

Tafadhali nipokeeni ili niwe mmoja wenu.

I. M.
 
Naupokea ukaribisho na kwa namna ya pekee nawashukuru wafuatao maana kwa niaba ya other members hapa JF mmenikaribisha kwa maandishi:
1. Mariposa
2. Globu
3. watu8
4. Ulimakafu

Kukosea binadamu ni kawaida tuelekezane kila ninapokosea ikidhihirka kweli nimekosa samahani hata leo ichukueni. Lakini nanyi mkikosea msishupaze shingo ktk kuomba msamahaa eti kwasababu ni masenior, premier members au vinginevyo.

Pamoja sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…