Hodiiiii, ngo ngo ngo hodiiii, wenyewe humu ndani

Hodiiiii, ngo ngo ngo hodiiii, wenyewe humu ndani

Wa ndugu habari zenu! Nimeona namimi nisiishie kuchungulia dirishani bali niingie ndani nijionea mwenye vilivyomo ,tafadhali naomba ukaribisho.

Asante sana.
Mh, kuchungulia, ulikuwa unaingiza kichwa tu kutokea dirishani, haya. KARIBU SANA
 
Karibu mtoto mzuri, umejiandaa psychologically lakini?

Kupima mkojo na uchochezi wapi na wapi??
 
Karibu,ila huku hakuna mambo kama ya fb,insta n.K
 
Back
Top Bottom