hodiiiiiiii1111111

Ruhazwe JR

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2011
Posts
3,402
Reaction score
925
Wakati ndio sasa'

- Wa kuwang'oa madarakani wale wezi wote wa kodi zetu
- wa kusema hapana kwa CCM
- wa kufanya mabadiliko ya kweli ndani ya nchi yetu
- wa kutokupangiwa nini cha kuongea na nini hatupaswi kuongea hasa katika mchakato wa katba mpya
- wa kuanza kujongea kuelekea magogoni kudai haki yetu
- wa kutokubaki nyuma katika kuutafuta ukombozi wa kweli kutoka kwenye mikono ya mafisadi

Naombeni mmnipokee wanajamvi hata kama ujumbe niliokuja nao utawakwaza
 
mkubwa!karibu sana,nafurahia sana ujumbe uliokuja nao,pamoja tunaweza
 
Karibu Mkubwa. Kweli wakati ndio huu, kurudi nyuma mwiko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…