hodiiiiiiiii

nkole

Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
20
Reaction score
9
habari zenu ma bibi na ma bwana,mi jamani ni mgeni hapa nahijati ku share nayi mambo mbalimbali,natanguliza shukran za dhati
 
Last edited by a moderator:
karibu mgeni, ila hiki chumba ulichoungia huwa wanalala baba na mama, pita barazani kwanza
 
Ingia na uketi jamvini ila sheria za hapa ni kuwa mwangalifu na maneno yako unayotaka kuyasema lasivyo itapata ban.
 
Wewe Jinsia Gani?
Maana Uku Tunambuana Kwa Jinsia!
 
sitaingia chumbani bila ruksa jamani usihofu

huku ulipoingia ndio chumbani kwenyewe, au we huoni baba mwenye nyumba nilivyopozi na mama yeyooo hapa



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…