Hodiiiiiiiiiiiiii

Hodiiiiiiiiiiiiii

mamseri

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
707
Reaction score
292
Jamani nilikuwa napita kama mgen ila leo nimeamua kuingia ndani naomba mnikaribishe tujadiliane pamoja
 
Jamani nilikuwa napita kama mgen ila leo nimeamua kuingia ndani naomba mnikaribishe tujadiliane pamoja

Karibu sana sana...
we ni she au he? kwa jina lako nimepata utata kidogo!
mkuu mimi ni he..
 
mimi ni he asante sana kwa kunikaribisha
 
Jamani nilikuwa napita kama mgen ila leo nimeamua kuingia ndani naomba mnikaribishe tujadiliane pamoja

Sasa huku ulikoingilia ...., na wewe ni kazi au tenda!??
 
Naona kila mmoja anatanguliza yy ni he, nami ni he kabla ya yote, kwahiyo mgeni umetuletea mpya gani?, yaani tenda kazi au wale wale watafuta kazi?
 
Back
Top Bottom