hodiiiiiiiiiiiiiiiiiii

hodiiiiiiiiiiiiiiiiiii

salamu ya mwanamageuzi

karibu swali kwa nini umeamua kujiunga na jf? Wewe umeijuaje jf? Nani aliye kuambia kuhusu jf? Kwa mara ya kwanza uliisikia wapi jf? Pita ndani
 
karibu swali kwa nini umeamua kujiunga na jf? Wewe umeijuaje jf? Nani aliye kuambia kuhusu jf? Kwa mara ya kwanza uliisikia wapi jf? Pita ndani

Una maswali mengi kwani we ni Mgambo!!??? dogo uko lindoni nini!?
 
Una maswali mengi kwani we ni Mgambo!!??? dogo uko lindoni nini!?

nawakagua hawa wageni bro Dr.zero nimeamua kukaa huku getini maana wanaingia jf leo lakini tayari wanamjua Slave Globu na wengineo utajiuli huyu kaja leo tu lakini forum yote aijua.
 
Last edited by a moderator:
Si unajua mgeni njoo mwenyeji apone! Sasa mbona uko mikono mitupu au ndo umeshamaliza zawadi zote? Karibu sana, mimi pia sio mwenyeji sana ila utawakuta wenyewe watakujulisha kona zote za jumba hili. Ukitaka tuonane uwe unakuja basi kwenye kijiwe cha mabisiness na wajasiliamali tupate tubadilishane mawazo.
 
Back
Top Bottom