Hofu imewapata mayahudi.Wasema kuna sauti za kama watu wanachimba chini ya ardhi.Isije ikawa ni mahandaki yanajengwa chini ya eneo lao.

Hofu imewapata mayahudi.Wasema kuna sauti za kama watu wanachimba chini ya ardhi.Isije ikawa ni mahandaki yanajengwa chini ya eneo lao.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Mamlaka ya mji wa Bat Hefer unaopakana na mji wa Tulkarem huko ukingo wa magharibi imeanzisha uchunguzi baada ya wakaazi wa eneo hilo kusema wamekuwa wakisikia sauti chini yao kama kwamba kuna ujenzi unafanyika.
Mmoja ya wakazi hao alirekodi sauti hizo za kama mtu anachimbua na kuzipiga redioni wakati akihojiwa na moja ya kituo cha redio cha eneo hilo.
Ukishaumwa na nyoka ukiona unyoya unashtuka.Na ukiwa mwizi kila sauti unadhani unafukuzwa

Officials order further investigation as residents of town near West Bank hear digging


1704025454348.png

 
Mamlaka ya mji wa Bat Hefer unaopakana na mji wa Tulkarem huko ukingo wa magharibi imeanzisha uchunguzi baada ya wakaazi wa eneo hilo kusema wamekuwa wakisikia sauti chini yao kama kwamba kuna ujenzi unafanyika.
Mmoja ya wakazi hao alirekodi sauti hizo za kama mtu anachimbua na kuzipiga redioni wakati akihojiwa na moja ya kituo cha redio cha eneo hilo.
Ukishaumwa na nyoka ukiona unyoya unashtuka.Na ukiwa mwizi kila sauti unadhani unafukuzwa

Officials order further investigation as residents of town near West Bank hear digging


View attachment 2858503

Huo ni uoga umeshwaingia. Thubutu usikie sauti watu wakichimba meter 50 chini huko.
 
Huo ni uoga umeshwaingia. Thubutu usikie sauti watu wakichimba meter 50 chini huko.
Katka vita vya Hunayn wayahudi walitiwa hofu mpaka wakakimbizana.Hivyo hofu ni aina ya adhabu zinazotlewa kwa madhalimu.
 
Mamlaka ya mji wa Bat Hefer unaopakana na mji wa Tulkarem huko ukingo wa magharibi imeanzisha uchunguzi baada ya wakaazi wa eneo hilo kusema wamekuwa wakisikia sauti chini yao kama kwamba kuna ujenzi unafanyika.
Mmoja ya wakazi hao alirekodi sauti hizo za kama mtu anachimbua na kuzipiga redioni wakati akihojiwa na moja ya kituo cha redio cha eneo hilo.
Ukishaumwa na nyoka ukiona unyoya unashtuka.Na ukiwa mwizi kila sauti unadhani unafukuzwa

Officials order further investigation as residents of town near West Bank hear digging


View attachment 2858503

Umenikumbusha habari za wakoma na Washami! Wakoma wanawatisha Washami kwa sauti? Mungu wa Yakobo kasinzia nowadays?
 
Back
Top Bottom