HOFU;Mitandao ya simu inatumika na serikali

HOFU;Mitandao ya simu inatumika na serikali

Ndekirhepva

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2012
Posts
371
Reaction score
44
Leo majira ya saa 22:45 nimepata ujumbe unaosoma,
"Raia mwema fuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kudai haki yako. Mamlaka husika itakusikiliza ukifuata utaratibu. Utakapozivunja sheria itafuata mkondo wake. Kumbuka Mungu ni wautaratibu vivyo hivyo na Serikali. Tudumishd amani" mwisho wa ku nukuu, sender ni "Emergency service"

najiuliza, imeanza lini haki kupatikana ndani ya magamba?
Na kume nao wanamjua mungu?

Huu ni mchezo wa kina power mabula na kiini macho.

Rai yangu, makampuni ya simu na mengne,msikubal kutumika kwani mnaem2mikia hatokuwepo siku chache zijazo na utatapatapa, ni hayo tu kwa usiku wa leo wakuu,hope kuna walopata ujumbe huu pia
 
Leo majira ya saa 22:45 nimepata ujumbe unaosoma,
"Raia mwema fuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kudai haki yako. Mamlaka husika itakusikiliza ukifuata utaratibu. Utakapozivunja sheria itafuata mkondo wake. Kumbuka Mungu ni wautaratibu vivyo hivyo na Serikali. Tudumishd amani" mwisho wa ku nukuu, sender ni "Emergency service"

najiuliza, imeanza lini haki kupatikana ndani ya magamba?
Na kume nao wanamjua mungu?

Huu ni mchezo wa kina power mabula na kiini macho.

Rai yangu, makampuni ya simu na mengne,msikubal kutumika kwani mnaem2mikia hatokuwepo siku chache zijazo na utatapatapa, ni hayo tu kwa usiku wa leo wakuu,hope kuna walopata ujumbe huu pia
Kwanza unge anza kuuliza ni nani aliyewapa namba yako!!!????
 
Leo majira ya saa 22:45 nimepata ujumbe unaosoma,
"Raia mwema fuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kudai haki yako. Mamlaka husika itakusikiliza ukifuata utaratibu. Utakapozivunja sheria itafuata mkondo wake. Kumbuka Mungu ni wautaratibu vivyo hivyo na Serikali. Tudumishd amani" mwisho wa ku nukuu, sender ni "Emergency service"

najiuliza, imeanza lini haki kupatikana ndani ya magamba?
Na kume nao wanamjua mungu?

Huu ni mchezo wa kina power mabula na kiini macho.

Rai yangu, makampuni ya simu na mengne,msikubal kutumika kwani mnaem2mikia hatokuwepo siku chache zijazo na utatapatapa, ni hayo tu kwa usiku wa leo wakuu,hope kuna walopata ujumbe huu pia

Wamesha nusa kwamba sasa mambo nameanza kwenda "HARI JOJO". Wanatafuta huruma ya waTanganyika. Hiyo haikubaliki. Hawa tunao hadi Kitaeleweka tu!!!
 
Leo majira ya saa 22:45 nimepata ujumbe unaosoma,
"Raia mwema fuata sheria na taratibu zilizowekwa wakati wa kudai haki yako. Mamlaka husika itakusikiliza ukifuata utaratibu. Utakapozivunja sheria itafuata mkondo wake. Kumbuka Mungu ni wautaratibu vivyo hivyo na Serikali. Tudumishd amani" mwisho wa ku nukuu, sender ni "Emergency service"

najiuliza, imeanza lini haki kupatikana ndani ya magamba?
Na kume nao wanamjua mungu?

Huu ni mchezo wa kina power mabula na kiini macho.

Rai yangu, makampuni ya simu na mengne,msikubal kutumika kwani mnaem2mikia hatokuwepo siku chache zijazo na utatapatapa, ni hayo tu kwa usiku wa leo wakuu,hope kuna walopata ujumbe huu pia

hata huelweki cjui umelewa wewe
 
Sasa hapa utajua kuwa hii nchi imeingiliwa huyu mtu anayeponda ujumbe wa namna hii kazoea kupokea ujumbe wa matusi kwa serikali na kuchochea vurugu anazotumiwa na chama chake sasa kupokea ujumbe kama huu anashangaa.
 
si Huawei inatumika, na mchina anapata kil akitu akiwa china na hivyo kuweza shirikiana na ccm inapobidi...pia anawacheki na wao km wanataka mgeuka.
 
ni sawa lakini je haki zinapatikana pale unapohoji?
 
Sasa hapa utajua kuwa hii nchi imeingiliwa huyu mtu anayeponda ujumbe wa namna hii kazoea kupokea ujumbe wa matusi kwa serikali na kuchochea vurugu anazotumiwa na chama chake sasa kupokea ujumbe kama huu anashangaa.

Wewe nawe siwezi kukushangaa kwani hata account yako hapa umefunguliwa, ukapewa na paswedi, kazi yako kumtetea Mchemba na kundi lake, en much worse ni kwamba unaelewa vile hali halisi ilivyo ila Tumbo lako lina kuendesha vibaya, jifikirie na ujitathimini then ufanye maamuzi yako mwenyewe na siyo kufanyiwa na watu wengine
 
ni sawa lakini je haki zinapatikana pale unapohoji?
swali la msingi, na hapo ndio tulitaka serikali itufafanulie, kwa maana sidhani kama yupo aliedai haki yake kwa njia salama kwenye hii serikali ya m.kwere na akafanikiwa
 
imeanza lini haki kupatikana ndani ya magamba?
Wewe mkuu hujapata haki zifuatazo?
1. Haki ya kuishi
2. Haki ya kutoa maoni
3. Haki ya kutoa maamuzi (unapiga kura)
4. Haki ya kuabudu
5. Haki ya elimu
6. Haki ya kupata habari na nyenginezo
Inavyo onekana NDEKIRHEPWA hujui hata haki zako ni nini.
 
Back
Top Bottom