Hofu & Woga!

Hofu & Woga!

Twilumba

JF-Expert Member
Joined
Dec 5, 2010
Posts
12,576
Reaction score
14,522
Wana JF habari za Mchana!

Mara nyingi nimekuuwa nikijiuliza ni kwa namna gani mtu anaweza ku-overcome hali ya hofu ya namna yoyote.

Ninae jamaa yangu ambaye naona ana wakati mgumu najaribu kumchangamsha na kumweka sehemu yenye mchanganyiko ya watu lakini naona bado haisaidi.

Je ni kwa namna gani anaweza kusaidika ili aweze ku-overcome hofu na stress za namna hiyo?

Naomba kuwasilisha, kwa michango yenu!
 
nenda kafanyiwe maombi kwani unaogopa nini?
 
Hicho kitu kinaitwa SOCIAL FOBIA...hiki kitu kinaweza kutibika kwa cognitive therapi..Na lazima kuna sababu zilizosababisha hio social fobia tangia utotoni/au kwenye ukuaji/shuleni..inasababisha mtu anakuwa hajiamini akiwa kwenye mchanganyiko wa watu anafikiria watu wote wanamsema yeye..mtu akicheka anamcheka yeye...kwahio lazima atibiwe psychologically..
mfano mdogo wa fobia kuna watu wanaogopa sana mende,ili kutibu hio hofu ni kukutana na hao mende..kwahio kinachofanyika ni kwamba unamkutanisha huyo mtu na hao mende lakini kwa utaratibu mfano unawafungia mende kwanza kwenye chupa awe na ukaribu nao lakini sio ukaribu wa kuwagusa..and so on
Vile vile unaweza kutibwa na ANTIDEPRESSANTS/ANXIOLYTICS
 
Back
Top Bottom