Mengi ya petrol mkuuUna magari mangapi yote ya diesel au petrol?
Kama yote ni ya petrol utagonganisha tu!
Uza location fake!!Wadau!
Sikukuu ndo hizo zinaanza, weekend ndefu ndefu kama zote!
Tupeane mbinu za namna ya kukwepa kugonganisha magari chimbo na sehemu za starehe!!!
Ooh! Au nizime simu kabisa! Maana hizi smart nazozinaharibu mengiUza location fake!!
Kwani mkuu kamaanisha gari kama gari au kamaanisha wanawakeNenda na Uber.
Kwani mkuu kamaanisha gari kama gari au kamaanisha wanawake
Jibu hili hapaNi warembo hao.
Street dreams are made of these... Nas EscobarWadau!
Sikukuu ndo hizo zinaanza, weekend ndefu ndefu kama zote!
Tupeane mbinu za namna ya kukwepa kugonganisha magari chimbo na sehemu za starehe!!!
DuuhMagari yagongane tu
Ila hakikisha umevaa seat belt
Dereva hutadhurika nakuhakikishia
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiendeshe gari kama huna leseni ya uderevaWadau!
Sikukuu ndo hizo zinaanza, weekend ndefu ndefu kama zote!
Tupeane mbinu za namna ya kukwepa kugonganisha magari chimbo na sehemu za starehe!!!