Hofu ya mto unapoingia baharini

Hofu ya mto unapoingia baharini

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Wajuvi wanasema kwamba kabla ya kuingia baharini, mto unatetemeka kwa hofu; unatazama nyuma katika safari nzima, vilele na milima ulikopitia, barabara ndefu na yenye kupindapinda iliyovuka kati ya misitu na miji, na mwishowe unaona mbele yake bahari kubwa sana hivi.. Kiasi kwamba kuingia ndani yake kunaweza kumaanisha kutoweka milele. Lakini hakuna njia nyingine. Mto hauwezi kurudi nyuma. Hakuna mtu anayeweza kurudi jana.. Wakati hauna rivasi.
Kurudi nyuma haiwezekani kuwepo. Hakuna njia nyingine, mto hauwezi kurudi ulikotoka. Lakini mto unahitaji kukubali asili yake na kuingia baharini.
Ni kwa kuingia tu baharini hofu itatoweka. Kwa sababu ni hapo tu mto utajua kuwa sio juu ya kutoweka ndani ya bahari, bali ni kuwa sehemu ya bahari ni kuwa bahari.

Je umejifunza lolote kuhusu fumbo la kifo na dhana dhanifu ya mto kuingia baharini?
FB_IMG_1734193576195.jpg
 
Wajuvi wanasema kwamba kabla ya kuingia baharini, mto unatetemeka kwa hofu; unatazama nyuma katika safari nzima, vilele na milima ulikopitia, barabara ndefu na yenye kupindapinda iliyovuka kati ya misitu na miji, na mwishowe unaona mbele yake bahari kubwa sana hivi.. Kiasi kwamba kuingia ndani yake kunaweza kumaanisha kutoweka milele. Lakini hakuna njia nyingine. Mto hauwezi kurudi nyuma. Hakuna mtu anayeweza kurudi jana.. Wakati hauna rivasi.
Kurudi nyuma haiwezekani kuwepo. Hakuna njia nyingine, mto hauwezi kurudi ulikotoka. Lakini mto unahitaji kukubali asili yake na kuingia baharini.
Ni kwa kuingia tu baharini hofu itatoweka. Kwa sababu ni hapo tu mto utajua kuwa sio juu ya kutoweka ndani ya bahari, bali ni kuwa sehemu ya bahari ni kuwa bahari.

Je umejifunza lolote kuhusu fumbo la kifo na dhana dhanifu ya mto kuingia baharini?View attachment 3176722
Dhana fikirishi.
 
Unakusudia Mchungaji watu wa nyanda za juu kusini au mchunga mbuzi wa kanda ya kati???
 
Wajuvi wanasema kwamba kabla ya kuingia baharini, mto unatetemeka kwa hofu; unatazama nyuma katika safari nzima, vilele na milima ulikopitia, barabara ndefu na yenye kupindapinda iliyovuka kati ya misitu na miji, na mwishowe unaona mbele yake bahari kubwa sana hivi.. Kiasi kwamba kuingia ndani yake kunaweza kumaanisha kutoweka milele. Lakini hakuna njia nyingine. Mto hauwezi kurudi nyuma. Hakuna mtu anayeweza kurudi jana.. Wakati hauna rivasi.
Kurudi nyuma haiwezekani kuwepo. Hakuna njia nyingine, mto hauwezi kurudi ulikotoka. Lakini mto unahitaji kukubali asili yake na kuingia baharini.
Ni kwa kuingia tu baharini hofu itatoweka. Kwa sababu ni hapo tu mto utajua kuwa sio juu ya kutoweka ndani ya bahari, bali ni kuwa sehemu ya bahari ni kuwa bahari.

Je umejifunza lolote kuhusu fumbo la kifo na dhana dhanifu ya mto kuingia baharini?
View attachment 3176722
Mkuu nakutafuta sana ila sina mawasiliano yako sina. Nina jambo muhimu Sana natamani nikushirikishe ila DM yako ni kama imefungwa
 
Wajuvi wanasema kwamba kabla ya kuingia baharini, mto unatetemeka kwa hofu; unatazama nyuma katika safari nzima, vilele na milima ulikopitia, barabara ndefu na yenye kupindapinda iliyovuka kati ya misitu na miji, na mwishowe unaona mbele yake bahari kubwa sana hivi.. Kiasi kwamba kuingia ndani yake kunaweza kumaanisha kutoweka milele. Lakini hakuna njia nyingine. Mto hauwezi kurudi nyuma. Hakuna mtu anayeweza kurudi jana.. Wakati hauna rivasi.
Kurudi nyuma haiwezekani kuwepo. Hakuna njia nyingine, mto hauwezi kurudi ulikotoka. Lakini mto unahitaji kukubali asili yake na kuingia baharini.
Ni kwa kuingia tu baharini hofu itatoweka. Kwa sababu ni hapo tu mto utajua kuwa sio juu ya kutoweka ndani ya bahari, bali ni kuwa sehemu ya bahari ni kuwa bahari.

Je umejifunza lolote kuhusu fumbo la kifo na dhana dhanifu ya mto kuingia baharini?
View attachment 3176722
Kurudi nyuma haiwezekani kuwepo. Hakuna njia nyingine, mto hauwezi kurudi ulikotoka. Lakini mto unahitaji kukubali asili yake na kuingia baharini.
Ni kwa kuingia tu baharini hofu itatoweka. Kwa sababu ni hapo tu mto utajua kuwa sio juu ya kutoweka ndani ya bahari, bali ni kuwa sehemu ya bahari ni kuwa bahari.
 
Back
Top Bottom