Msiyempenda kaja! Jumapili mtatukana matusi yote kwa TFF mtapigwa mpaka Mchakae.Timu yetu imeweka kambi uturuki wiki 3 na mwekezaji anasema ameweka bilioni tatu za usajili, lakini bado uwanjani tulihitaji refa abebe aibu yetu!!!
Itakuwaje sasa tunaenda kutana na Bingwa mtetezi?
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
KIBU MKANDAJI anaenda kufanya yake tena.
Hapana mkuu, 10 zote za nini? tufanye mbili tu.Sio mbaya uzi wako ukausindikiza na H2H mechi kumi za mwisho zinasemaje?
Naona unatumia reverse psychology. Hofu ya Simba umeigeuza hofu ya Yanga. Huku ni kujifariji kwa sababu unajua kitakachitokea J2.Ni picha la kutisha sana muuaji wa jangwani yupo tena kwa ajili ya kazi hiyo.
Hofu kubwa imetanda katika mioyo ya wana jangwani kwa kuwa hawajui hatma yao kwa sasa na wameanza kutumia njia yao maarufu ya kutafuta huruma.
Njia hii ya malalamiko ilifanya waonewe huruma na baadhi ya watu walioamua kujiunga nao.
Mwaka huu ni wa malalamiko sana kwa TFF,serikali,waamuzi,CAF na hata waandishi wa habari wa kimataifa wanaomposti mpinzani.
Poleni sana "utopolo msiyempenda kaja"
Simba shida kocha akiweka music mzuri 45 Yanga hufiki, Saido ,kibu Bocco, mzamiru wasicheze hakuna wa kusimamaUAJIULIZA ANAYEFANYA USAJILI WA MAWINGA ANAAKILI TIMAMU KWELI?????????
.
Mawinga. 2023
1. Peter Banda.
2. Jimyson Mwinuke.
3. KIBU Denis.
4.Said Ntibazonkiza.
5. CLOTUS Chama 10-11.
6. Aubin Kramo.
7. Essomba Onana.
8. Luis Miquesson.
.
Hili KOSA lilifanyika 2020.
Mawinga walikuwa kumi, ukiunganisha idadi Yao mchango WAO MAGOLi hayafiki hata 10.
.
1 Bernald Morison.
2. Perfect CHIKWENDE.
3. Hassan Dilunga.
4. Ibrahim Ajibu.10--⁷
5.peter Banda.
6.pape sackho
7. Dunkan Nyoni
8. Valentine Muhilu.
9. KIBU Denis.
10. RALY BWALYA 8-10--11.
.
UNAJIULIZA HUU USAJILI UNAFANYWA NA MTU MWENYE AKILI TIMAMU KWELI
Kwa pira "makande" mlilocheza na singida mjiandae kwa kipigo tu.Ni picha la kutisha sana muuaji wa jangwani yupo tena kwa ajili ya kazi hiyo.
Hofu kubwa imetanda katika mioyo ya wana jangwani kwa kuwa hawajui hatma yao kwa sasa na wameanza kutumia njia yao maarufu ya kutafuta huruma.
Njia hii ya malalamiko ilifanya waonewe huruma na baadhi ya watu walioamua kujiunga nao.
Mwaka huu ni wa malalamiko sana kwa TFF,serikali,waamuzi,CAF na hata waandishi wa habari wa kimataifa wanaomposti mpinzani.
Poleni sana "utopolo msiyempenda kaja"