Nauliza kwamba h. pylori inampataje mtu ambaye anajilinda sana kwenye chakula n.k.? Mtu anayekula kwa wakati kwa mfano usiku anakula kabla ya saa mbili, hatumii sukari (anatumia sukari mbadala mara moja moja), hali vitu vya kukaanga, hali nyama nyekundu, hatumii mafuta kwenye chakula chake cha kuchemsha n.k. Sasa huyu mtu anapataje h. pylori?