SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kama umemfuatilia Che Malone ni beki aliye na uwezo wa kupiga chenga, ana nguvu, ana composure nzuri akiwa na mpira, ana uwezo wa kufunga na kukimbia na mpira. Haya yote anayafanya akiwa anacheza nafasi ya beki wa kati. Imagine akiwa anacheza mbele kidogo.
Siku moja kocha Fadlu ajitoe ufahamu, beki za kati pale amuweke Hamza na Chamou au Kazi, namba 10 amuweke Che Malone uone jinsi mbele pale patakavyofunguka na nafasi nyingi za magoli kutengenezwa.
Inawezekana dirisha dogo kupata beki wa kati ni rahisi zaidi ya kupata kiungo mshambuliaji na hii inaweza kuwa suluhisho la tatizo. Simba bado inajenga timu kwa hiyo isiogope kufanya majaribio kama haya, hauwezi jua yatakupa nini.
Siku moja kocha Fadlu ajitoe ufahamu, beki za kati pale amuweke Hamza na Chamou au Kazi, namba 10 amuweke Che Malone uone jinsi mbele pale patakavyofunguka na nafasi nyingi za magoli kutengenezwa.
Inawezekana dirisha dogo kupata beki wa kati ni rahisi zaidi ya kupata kiungo mshambuliaji na hii inaweza kuwa suluhisho la tatizo. Simba bado inajenga timu kwa hiyo isiogope kufanya majaribio kama haya, hauwezi jua yatakupa nini.