Hoja Fyatu: Hisia ya Uduni (inferiority complex) miaka 60 baadaye...

Hoja Fyatu: Hisia ya Uduni (inferiority complex) miaka 60 baadaye...

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Tunaona fahari kufikisha miaka 60 ya uhuru...
Tunajivunia mafanikio mengi..
Tunajitahidi kufanya mengi..
Lakini kama taifa bado tunajitazama kama duni..hatujiamini, hatuamini uwezo wetu..tunajitilia mashaka..

Hadi wazungu watupongeze
Hadi wazungu watukosoe
Hadi wazungu watusikilize
Hadi wazungu watupigie makofi...

Wanachokisema juu yetu ndicho tunachoamini ni kweli..

Unafanya nini na taifa la watu wanaojiona duni...?
 
Waafrika ndivyo tulivyo...

Geniouses wengi wa kiafrika ili watoboe inabidi waende ulaya ama amerika.. Mfano yule mzenji alobeba Nobel Prize mwaka huu.... Mfano mwingine ni Elon Musk, ameenda kutoboa maisha akiwa Marekani.
 
Tunaona fahari kufikisha miaka 60 ya uhuru...
Tunajivunia mafanikio mengi..
Tunajitahidi kufanya mengi..
Lakini kama taifa bado tunajitazama kama duni..hatujiamini, hatuamini uwezo wetu..tunajitilia mashaka..

Hadi wazungu watupongeze
Hadi wazungu watukosoe
Hadi wazungu watusikilize
Hadi wazungu watupigie makofi...

Wanachokisema juu yetu ndicho tunachoamini ni kweli..

Unafanya nini na taifa la watu wanaojiona duni...?
Pole sana mzee,jitaid umsahau mzee wa chato
 
Waafrika ndivyo tulivyo...

Geniouses wengi wa kiafrika ili watoboe inabidi waende ulaya ama amerika.. Mfano yule mzenji alobeba Nobel Prize mwaka huu.... Mfano mwingine ni Elon Musk, ameenda kutoboa maisha akiwa Marekani.
Una maana wenyewe kwa wenyewe haviendi?
 
Una maana wenyewe kwa wenyewe haviendi?
Siyo haviendi tu,bali havitoki kabisa,tunataka vya ughaibuni bana! Gimbi la nini ikiwa kuna burger? Yule profesa si alisema sisi watanzania level yetu ni biashara ya maji ya machungwa tu? Na gesi na mafuta hayatuhusu,hata hapa kazini kwangu wenye unafuu wa maisha wanalipwa $ halafu sisi wengineo ndiyo tunapewa tsh, karibu bongo mkuu.
 
Mambo mengi yanasababisha ikiwemo propaganda za kisiasa na uelewa mdogo wa wananchi.
 
Unamsahau vipi mtu aliyejaribu kuvunja uduni huu? Hata kauli za "na sisi tumaweza" hazisikiki tena! Halafu ujue siyo somo la leo kwangu...
Magufuli alikuwa muongo muongo tu,

Sasaivi Nchi imetulia chini ya Rais SAMIA,hakuna utekaji,hakuna kubambikia watu mikesi, hakuna hotuba za matusimatusi na Rubbish,

Wafuasi wa dikteya taratibu mtamsahau huyo mungu wenu,na mama Sasaivi ashaambiwa hakuna kumtaja huyo mungu wenu kwenye hotuba yoyote atakayotoa
 
Tunaona fahari kufikisha miaka 60 ya uhuru...
Tunajivunia mafanikio mengi..
Tunajitahidi kufanya mengi..
Lakini kama taifa bado tunajitazama kama duni..hatujiamini, hatuamini uwezo wetu..tunajitilia mashaka..

Hadi wazungu watupongeze
Hadi wazungu watukosoe
Hadi wazungu watusikilize
Hadi wazungu watupigie makofi...

Wanachokisema juu yetu ndicho tunachoamini ni kweli..

Unafanya nini na taifa la watu wanaojiona duni...?
Kuhakikisha wanaendelea kujiona duni. Ndio namna bora ya kuwatawala
 
Tunaona fahari kufikisha miaka 60 ya uhuru...
Tunajivunia mafanikio mengi..
Tunajitahidi kufanya mengi..
Lakini kama taifa bado tunajitazama kama duni..hatujiamini, hatuamini uwezo wetu..tunajitilia mashaka..

Hadi wazungu watupongeze
Hadi wazungu watukosoe
Hadi wazungu watusikilize
Hadi wazungu watupigie makofi...

Wanachokisema juu yetu ndicho tunachoamini ni kweli..

Unafanya nini na taifa la watu wanaojiona duni...?


..mtizamo kwamba it is Tanzania vs wazungu aliuleta Magufuli.

..itachukua muda kuondokana na mitizamo hiyo na kumpata " ADUI " mpya wa taifa letu.
 
Jamani weee mzee sasa unazeeka vibaya!! ...kalale mzeee...kapumzike mzeee... nilikuwa nakuheshimu lkn sasa sikuheshimu tena!! Mabarabara yoote haya, mighorofa, wasomi kibao! miradi kedekede!! migari, mishamba ya kisasa heee! twajitegemea, twajilisha, twajilinda mweee! unataka nini zaidi??? dhiki zako hukohuko!!!

Misaada wanalazimisha hatuitaki kiviile!! ila basi tu!.... km hujui kuna sehemu wanatutega kideni deni!! ili siku tukidai fidia ya utumwa tu!! watubane! kuwa wanatudai!! misaada yao wanalazimisha!! funguka!! inaonyesha huko st kayumba ulikuwa mtoro!

angalia sasa miaka 60 kiduchu tu! ya uhuru nchi imefurika wasomi!! nchi nzima ni Lami tupu! HOspitali rufaa kibao! Mashule mama!! waalimu, wataalamu, miviwanda jeshi la maana, tumeshiriki vilivyo kuwakomboa ndg zetu! leo wako huru, SADDAC, EAC, nk, yaani full shangwe!!

wao weupe kwa umoja wao wametawala hapa miaka takribani 200 walifanya nini cha kujivunia?? pamoja na usomi wao huo! mifedha, elimu, utaalamu wao! ulitusaidiaje??........ tuko vizuri dogo km wamekutuma kawaambie tumestuka! USIRUDIE TENA make naona unalialia km toto yatima!

havitoshekagi vile vitoto!! ukikapa nyama bado kanatizama sahani ya mwenzie!! kulialia tuuu!!! mama wamevuta buranketi.....ukienda kenyewe ndokamejifunika!!.... ndo kama weye!!! hutosheki wee mzee! Gubu! pwiiii!
 
IMG-20211209-WA0273.jpg
 
Back
Top Bottom