Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 373
- 829
Tuliokuwa tunamsapoti feisal japokuwa ilikuwa ni haki yake kudai maslahi leo hii hatumsapoti tena , kijana anakufa kivyake , anapambana kivyake
ni kweli huenda kuna team ilikuwa inahitaji kumpa feisal mshahara wa million 16 kwa mwezi , lakini feisal alishindwa kuwaza kwamba alitakiwa kuvumilia msimu huu uishe acheze mashindano haya ya CAFCC huenda angeonekana kwa team kubwa , pengine angepokea zaidi ya hiyo 16M ?
Jibu ni kwamba feisal alikuwa na tamaa pasipo kufikiri mbali , mchezaji kukosa management inayoeleweka haya ndiyo madhara yake , bonde na pigo kubwa kwa feisal kukosa michuano hii ya kombe la shirikiaho barani africa , zamaleki ,pyramid , mamelod raja casablanca pengine wangemuona na wakampa mshahara wa zaidi ya 50M kwa wwezi
Wachambuzi tuliokuwa tunamuunga feisal leo hii hatujui namna gani feisal ameathirika baada ya kukosa michuano hii ya kombe la shirikisho [emoji22] mwisho wa siku tunahitaji busara itumike ,
N.B
Ukiona wabongo wengi wapo upande wako huo ni mtego achana nao , mwisho wa siku watakubwaga
ni kweli huenda kuna team ilikuwa inahitaji kumpa feisal mshahara wa million 16 kwa mwezi , lakini feisal alishindwa kuwaza kwamba alitakiwa kuvumilia msimu huu uishe acheze mashindano haya ya CAFCC huenda angeonekana kwa team kubwa , pengine angepokea zaidi ya hiyo 16M ?
Jibu ni kwamba feisal alikuwa na tamaa pasipo kufikiri mbali , mchezaji kukosa management inayoeleweka haya ndiyo madhara yake , bonde na pigo kubwa kwa feisal kukosa michuano hii ya kombe la shirikiaho barani africa , zamaleki ,pyramid , mamelod raja casablanca pengine wangemuona na wakampa mshahara wa zaidi ya 50M kwa wwezi
Wachambuzi tuliokuwa tunamuunga feisal leo hii hatujui namna gani feisal ameathirika baada ya kukosa michuano hii ya kombe la shirikisho [emoji22] mwisho wa siku tunahitaji busara itumike ,
N.B
Ukiona wabongo wengi wapo upande wako huo ni mtego achana nao , mwisho wa siku watakubwaga