EL_CHAPO_UNO
JF-Expert Member
- Apr 14, 2022
- 273
- 508
Shida elimu kichwani hamna pia hana Menejiment, binafsi sijawahi kusikia Feisal anauongozi unaomsimamia zaidi watoto wa mjini wahuni ndio washauri wake, kafanya blunder sana yaani kajichoresha tuSiku zote Nina falsafa yangu ya kwamba Jambo Ni lako na utabaki nalo pekee ako ,hvyo Ni vyema nikaweka mipango yangu all allone kwa asilimi90 hz kumi Ni kupokea maoni tu
Leo kina Bibi kwzumari wamemkimbiaa na kijana amebaki peke ake akiwaona wezake wakiuza majina Yao na kuonekana ulimwenguni Ni fedhea Sana watu wamemfanya hyu kijina mjinga tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app