Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo yaliwafurahisha sana Wazanzibari nayo ni
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha masheikh waliotoroshwa na kuwekwa "Kizuizini" huku Tanganyika warudishwe Zanzibar wakahukumiwe kwa sheria za Zanzibar
Hayo mambo kwa kweli yaliwafurahisha mno Wazanzibar.
Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa Membe ni kwamba, kwanza huyu jamaa ni bingwa wa Issues, ukimpa nafasi ya kumsikiliza anakata issues kwelikweli. Ukimpa nafasi ya kumsikiliza lazima akubadili mtizamo!
Pili huko zamani tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Mimi binafsi roho yangu ni nyeupe imetulia tuli kwa uwepo wa Lissu au Membe, yeyote kati ya hao wawili kwangu mimi binafsi anafaa, Nangoja nisubiri maamuzi ya ushirikiano ya wapinzani
Msikilize Membe hapa chini akitema moto huko Zanzibar!
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha masheikh waliotoroshwa na kuwekwa "Kizuizini" huku Tanganyika warudishwe Zanzibar wakahukumiwe kwa sheria za Zanzibar
Hayo mambo kwa kweli yaliwafurahisha mno Wazanzibar.
Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa Membe ni kwamba, kwanza huyu jamaa ni bingwa wa Issues, ukimpa nafasi ya kumsikiliza anakata issues kwelikweli. Ukimpa nafasi ya kumsikiliza lazima akubadili mtizamo!
Pili huko zamani tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Mimi binafsi roho yangu ni nyeupe imetulia tuli kwa uwepo wa Lissu au Membe, yeyote kati ya hao wawili kwangu mimi binafsi anafaa, Nangoja nisubiri maamuzi ya ushirikiano ya wapinzani
Msikilize Membe hapa chini akitema moto huko Zanzibar!