Kwasababu hakusema kwamba alitoa ushauri ukakataliwa.Haijakaa vizuri kivipi? , kuna mambo yanaongelewa ndani ya baraza la mawaziri na ni siri.
Sasa utajuaje kuwa Membe alishauri au hakushauri kwenye hivyo vikao?
Mpinzani anayetafuta kura kwa hoja huyu.Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo yaliwafurahisha sana Wazanzibari nayo ni
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha masheikh waliotoroshwa na kuwekwa "Kizuizini" huku Tanganyika warudishwe Zanzibar wakahukumiwe kwa sheria za Zanzibar
Hayo mambo kwa kweli yaliwafurahisha mno Wazanzibar.
Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa Membe ni kwamba, kwanza huyu jamaa ni bingwa wa Issues, ukimpa nafasi ya kumsikiliza anakata issues kwelikweli. Ukimpa nafasi ya kumsikiliza lazima akubadili mtizamo!
Pili huko zamani tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Mimi binafsi roho yangu ni nyeupe imetulia tuli kwa uwepo wa Lissu au Membe, yeyote kati ya hao wawili kwangu mimi binafsi anafaa, Nangoja nisubiri maamuzi ya ushirikiano ya wapinzani
Msikilize Membe hapa chini akitema moto huko Zanzibar!
Na bado watasema mambo mengi ya kufarisha watu ingawa siyo hoja za hao wananchi. Hizo ni hoja za akina Membe tu!Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo yaliwafurahisha sana Wazanzibari nayo ni
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha masheikh waliotoroshwa na kuwekwa "Kizuizini" huku Tanganyika warudishwe Zanzibar wakahukumiwe kwa sheria za Zanzibar
Hayo mambo kwa kweli yaliwafurahisha mno Wazanzibar.
Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa Membe ni kwamba, kwanza huyu jamaa ni bingwa wa Issues, ukimpa nafasi ya kumsikiliza anakata issues kwelikweli. Ukimpa nafasi ya kumsikiliza lazima akubadili mtizamo!
Pili huko zamani tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Mimi binafsi roho yangu ni nyeupe imetulia tuli kwa uwepo wa Lissu au Membe, yeyote kati ya hao wawili kwangu mimi binafsi anafaa, Nangoja nisubiri maamuzi ya ushirikiano ya wapinzani
Msikilize Membe hapa chini akitema moto huko Zanzibar!
Bila shaka hata wewe ni mchovu vilevile kama wao.Juzijuzi tu Membe alikuwa serikalini angeyasema hayo.Lakini,tuache hayo kwa kweli Membe anapwaya sana .Unamsifia tu kwa sababu uwezo wako wa kufikiri na kuona umeishia hapo.Katika mkutano wa mapokezi ya wagombea urais kwa tiketi ya ACT, mheshimiwa Membe alipewa dakika chache tu za kuwasalimia wazanzibari, katika dakika hizo Membe aliongea mambo mawili ambayo yaliwafurahisha sana Wazanzibari nayo ni
1)Mamlaka ya nchi ya Zanzibar ndani ya muungano
2) Kuwarudisha masheikh waliotoroshwa na kuwekwa "Kizuizini" huku Tanganyika warudishwe Zanzibar wakahukumiwe kwa sheria za Zanzibar
Hayo mambo kwa kweli yaliwafurahisha mno Wazanzibar.
Kitu kimoja ambacho nimejifunza kwa Membe ni kwamba, kwanza huyu jamaa ni bingwa wa Issues, ukimpa nafasi ya kumsikiliza anakata issues kwelikweli. Ukimpa nafasi ya kumsikiliza lazima akubadili mtizamo!
Pili huko zamani tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Mimi binafsi roho yangu ni nyeupe imetulia tuli kwa uwepo wa Lissu au Membe, yeyote kati ya hao wawili kwangu mimi binafsi anafaa, Nangoja nisubiri maamuzi ya ushirikiano ya wapinzani
Msikilize Membe hapa chini akitema moto huko Zanzibar!
Bila shaka hata wewe ni mchovu vilevile kama wao.Juzijuzi tu Membe alikuwa serikalini angeyasema hayo.Lakini,tuache hayo kwa kweli Membe anapwaya sana .Unamsifia tu kwa sababu uwezo wako wa kufikiri na kuona umeishia hapo.
shangaaWakati akiwa serikalini, alikuwa wapi kushauri hayo yote. Je mashekhe walikamatwa lini?
yesu wa burigi na CCM aliwahi kushauri nini serikali zilizopita? Si kila siku analalamikaWakati akiwa serikalini, alikuwa wapi kushauri hayo yote. Je mashekhe walikamatwa lini?
Umejuaje kuwa alipokuwa serikalini hakuyasema?
Au ulitaka baada ya kumshauri rais aite media autangazie umma kuwa kamshauri rais kitu juu ya hao masheikh?
Serikali haifanyi kazi hivyo!
Hata unachokueleza hakieleweki.
Huu uchaguzi ukiwa huru na haki haki ya Mungu Magufuli anashika namba tatu. That's for sure.
Uliza wanaomjua watakwambia keng* weweyesu wa burigi na CCM aliwahi kushauri nini serikali zilizopita? Si kila siku analalamika
Utaalamu wa kushambulia jukwaa na kusema cheche kwa convincing power ya kutisha ni jambo moja, na kuwa na mvuto wa kukubalika na kuchagulika ni jambo jingine!, kwa Zanzibar na Pemba, Membe atavuna kura nyingi kwasababu tuu ya mbeleko ya Maalim Seif, kama EL alivyopata kura nyingi Zanzibar kuliko JPM ile 2015, lakini tukija kwenye suala la mvuto, msisimko, hamasa na kuchagulika kwa huku bara, Membe ni hakuna kitu, hili ni Joka tuu la Mdimu, kitakacho mbeba Membe huku Bara ni candidature status ya Lissu, lakini Membe as Membe, mbele ya JPM, ni pale hakuna kitu pale!, nil!.tulikuwa hatujui kuwa kumbe Membe pia ni mtaalamu wa kushambulia jukwaa na kutema cheche kwa convincing power ya kutisha, Kwa kweli uchaguzi huu umetusaidia kumjua huyu jamaa kuwa kumbe siasa anazijua!
Hakuna kitu pale ile ni samaki ya picha, kumbe jk aliona mbaliAnajenga hoja vizuri. Kuna watu wanaweza sana kujielezea lakini wengine wanafoka tu
Utaalamu wa kushambulia jukwaa na kusema cheche kwa convincing power ya kutisha ni jambo moja, na kuwa na mvuto wa kukubalika na kuchagulika ni jambo jingine!, kwa Zanzibar na Pemba, Membe atavuna kura nyingi kwasababu tuu ya mbeleko ya Maalim Seif, kama EL alivyopata kura nyingi Zanzibar kuliko JPM ile 2015, lakini tukija kwenye suala la mvuto, msisimko, hamasa na kuchagulika kwa huku bara, Membe ni hakuna kitu, hili ni Joka tuu la Mdimu, kitakacho mbeba Membe huku Bara ni candidature status ya Lissu, lakini Membe as Membe, mbele ya JPM, ni pale hakuna kitu pale!, nil!.
Kikwete: Kuna nyoka mwenye ndimi mbili ndani ya Nyumba ya CCM
Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!
Membe amejuaje Contents za 'Diplomatic Bag'? Uwezo kukanusha kaupata wapi? - Tusidanganyane!
Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"
P