Hoja na Haja za Dkt. Tulia kuwa Spika wa Bunge

Labda ni mimi, huwa namuona huyu mama kama ana dharau na udikteta, hasa alipokuwa ana"deal" na wabunge wa upinzani.
 
Yaani spika ambaye kaiba kura za Sugu! Mbeya wanajua Sugu alipata kura zaidi😂 maigizo kwelikweli ….. kazi iendelee bado sana nchi yetu kwenye demokrasia!
Uwizi ni jinai,mbona hatukumuona sugu akifungua kesi ya kuibiwa kura? Sugu mwenyewe anajua kwamba Dr Tulia ni uzito wa juu kwenye siasa za Mbeya.
 
Kwani sita na msekwa wamewahi kuwa tofauti na mkuu wa nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…