Hoja tatanishi: Hivi ni kweli Mo Dewji aliweka billion 20 Simba au hajaweka?

utopolo og

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2022
Posts
575
Reaction score
1,575
Hivi huyu mwekezaji wetu ndugu Mohamed Dewji ni kweli aliweka Ile bil 20 tuliyoambiwa?

Watu mbalimbali wamekuwa wakihoji hili suala bila mafanikio huku uongozi wa wanachama ukiongozwa na ndugu Mangungu nao ukiwa kimya.

Hivi timu yenye bill 20 benki ni ya kushindwa kusajili wachezaji wa maana hata watatu Kwa bil 1?
Inasubilia free agent kama Saido mchezaji mzee ndio imsajili??

Mwenye ushahidi risiti/slip au aliyefanikiwa kumpiga picha mwamedi akiwa benki yoyote ile aki deposit huo mpunga atuwekee hapa..

[emoji881][emoji881] Nguvu moja[emoji123][emoji123][emoji123]
 
Mbona hizi bilioni zinawauma kuliko wanasimba wenyewe???
Eeee ndugu yangu utopolo ukishajua itakusaidia nini
Hizo bil 20 nikwel mwamed ameweka au ndo hayatuhusu
 
Binafsi nimeamua kuamn kua hakuweka bil20

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hizi bilioni zinawauma kuliko wanasimba wenyewe???
Eeee ndugu yangu utopolo ukishajua itakusaidia nini
Lazima tuwasaidie kuhoji ndugu zetu mbumbumbu maana akili zenu aliondoka nazo rage
 
HAJAWEKA. TUKAANDAMANE.
 
UKamuulize Try Again.. na uhakikishe una kadi ya Uanachama ya Simba
Try Again ni chawa wa Mwamedi hawezi toa majibu yanayoenda kinyume na bosi wake..
Humu jf Kuna wanasimba wengi sana wenye weledi na maarifa yakutosha na wengine wapo huko kwenye taasisi za kifedha.
Je hakuna yeyote mwenye jibu la uhakika kuhusu hizi fedha bil 20??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…