Umesikia kumbe safari ya Dubai imemaliza ela zote za usajili saivi unaambiwa timu ndio imemaliza usajili paka august dilisha lingine la usajili.. Hovyo sana huu uongoziAlafu mkuu, Simba inapofanya safari zake za nje ya nchi inakodi ndege nzima, gharama zake unazijua ?? .. usitake kujisahaulisha kwamba licha ya kufanyia pre-season matombo, kwenye mechi yenu ya marudiano na Alhilal mlipanda pamoja na abiria wengine wa kawaida na mlisafiri kwa mafungu, bila shaka ungeanza kuhoji kuhusu hili ..
lile basi wame mwaga injini au service ndogo tu.Hivi huyu mwekezaji wetu ndugu Mohamed Dewji ni kweli aliweka Ile bil 20 tuliyoambiwa?
Watu mbalimbali wamekuwa wakihoji hili suala bila mafanikio huku uongozi wa wanachama ukiongozwa na ndugu Mangungu nao ukiwa kimya.
Hivi timu yenye bill 20 benki ni ya kushindwa kusajili wachezaji wa maana hata watatu Kwa bil 1?
Inasubilia free agent kama Saido mchezaji mzee ndio imsajili??
Mwenye ushahidi risiti/slip au aliyefanikiwa kumpiga picha mwamedi akiwa benki yoyote ile aki deposit huo mpunga atuwekee hapa..
[emoji881][emoji881] Nguvu moja[emoji123][emoji123][emoji123]
Kweli Simba inakutoa uharoUmesikia kumbe safari ya Dubai imemaliza ela zote za usajili saivi unaambiwa timu ndio imemaliza usajili paka august dilisha lingine la usajili.. Hovyo sana huu uongozi
Price to Earning Ratio iligoma Mkuu, ndio maana Mo hakutoa ile 20 bilioni.Hivi huyu mwekezaji wetu ndugu Mohamed Dewji ni kweli aliweka Ile bil 20 tuliyoambiwa?
Watu mbalimbali wamekuwa wakihoji hili suala bila mafanikio huku uongozi wa wanachama ukiongozwa na ndugu Mangungu nao ukiwa kimya.
Hivi timu yenye bill 20 benki ni ya kushindwa kusajili wachezaji wa maana hata watatu Kwa bil 1?
Inasubilia free agent kama Saido mchezaji mzee ndio imsajili??
Mwenye ushahidi risiti/slip au aliyefanikiwa kumpiga picha mwamedi akiwa benki yoyote ile aki deposit huo mpunga atuwekee hapa..
[emoji881][emoji881] Nguvu moja[emoji123][emoji123][emoji123]