ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa mwaka jana wadau walianzisha thread ya kutoa tuzo.na tuliwapata wana jf bora kwa kila category..kuna ongezeko la wana jf wengi tu wanaofanya vizuri maingizo mapya nawatambua wengine wapo active sana ila pumba mawazoni.kuna waliopata kama wakina bitoz,the boss,mshana na wengine wengi tuila walipata tuzo.na mwaka huu anzisheni