JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja amesema “Tunapotumia majina maarufu tunaitangazia Dunia na si Tanzania pekee, tukimpa jina la Masanja hakuna atakayemjua.”
Hoja hiyo imetolewa Bungen na Mbunge Sophia Mwakagenda aliyeshauri majina ya mashujaa wa Tanzania yatumike mfano Mkwawa, Mwansansu au Mwakatumbula.