Hoja ya ufisadi wa CCM kutunyanyua wapinzani, kama ilivyofanyika enzi zile list of shame ya mafisadi na sasa tuikiomalie na huu wasaa wa kuig'oa CCM

Hoja ya ufisadi wa CCM kutunyanyua wapinzani, kama ilivyofanyika enzi zile list of shame ya mafisadi na sasa tuikiomalie na huu wasaa wa kuig'oa CCM

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
List of shame ilivyowekwa wazi pale mwembe Yanga na watanzania kutambua kuwa taifa lao linaibiwa, wapinzani tulipata nguvu. Tukapata heshima ya kuwa wakombozi wa taifa hili dhidi ya mafisadi wanaolitafuna taifa letu.


Sasa rais wa JMT ambaye ni mwenyekiti wa taifa wa CCM amebariki ufisadi wazi wazi kwenye runinga. Huu ndio wakati wa kuwaeleza wananchi juu ya hili na wananchi wapate imani juu yetu ili kuig'oa CCM ya mafisadi.
 
Acha pesa zipigwe

List of shame ilivyowekwa wazj pale mwembe Yanga na watanzania kutambua kuwa taifa lao linaibiwa, wapinzani tulipata nguvu. Tukapata heshima ya kuwa wakombozi wa taifa hili dhidi ya mafisadi wanaolitafuna taifa letu.


Sasa rais wa JMT ambaye ni mwenyekiti wa taifa wa CCM amebariki ufisadi wazi wazi kwenye runinga. Huu ndio wakati wa kuwaeleza wananchi juu ya hili na wananchi wapate imani juu yetu ili kuig'oa CCM ya mafisadi.
Usitupigie kelele. Wakati unahamia huko kwa kununuliwa na Polepole hukuyajua? Aliyekununua hana power tena na umeachwa nje ya inner circle ya serikali ya Samia, sasa unakuja kulilia wapinzani? Jibebe mwenyewe.
 
Huko kwenu viongozi wanaogopa kuanzisha mada ya ufisadi kwa sababu itabidi wanachama waanze kwanza kutaka kujua zilipokwenda zile milions walizokuwa wanakatwa wabunge kila mwezi kwa muda wa miaka mi5, pia watataka kujua sababu ya mwenyekiti kukiuzia chama chake mwenyew magari chakavu kwa bei ya dukani, watataka kujua yalipopotelea mamilioni ya ruzuku huku chama kikishindwa kujenga hata ofisi inayoeleweka nk. Ni vigumu kudili na matatizo he jirani yako huku yakwako yakikushinda.
 
Usitupigie kelele. Wakati unahamia huko kwa kununuliwa na Polepole hukuyajua? Aliyekununua hana power tena na umeachwa nje ya inner circle ya serikali ya Samia, sasa unakuja kulilia wapinzani? Jibebe mwenyewe.
Idiotic post
 
Huko kwenu viongozi wanaogopa kuanzisha mada ya ufisadi kwa sababu itabidi wanachama waanze kwanza kutaka kujua zilipokwenda zile milions walizokuwa wanakatwa wabunge kila mwezi kwa muda wa miaka mi5, pia watataka kujua sababu ya mwenyekiti kukiuzia chama chake mwenyew magari chakavu kwa bei ya dukani, watataka kujua yalipopotelea mamilioni ya ruzuku huku chama kikishindwa kujenga hata ofisi inayoeleweka nk. Ni vigumu kudili na matatizo he jirani yako huku yakwako yakikushinda.
Acha kutuchanganya
 
List of shame ilivyowekwa wazi pale mwembe Yanga na watanzania kutambua kuwa taifa lao linaibiwa, wapinzani tulipata nguvu. Tukapata heshima ya kuwa wakombozi wa taifa hili dhidi ya mafisadi wanaolitafuna taifa letu.


Sasa rais wa JMT ambaye ni mwenyekiti wa taifa wa CCM amebariki ufisadi wazi wazi kwenye runinga. Huu ndio wakati wa kuwaeleza wananchi juu ya hili na wananchi wapate imani juu yetu ili kuig'oa CCM ya mafisadi.
Tangu lini umekuwa mpinzani?
 
List of shame ilivyowekwa wazi pale mwembe Yanga na watanzania kutambua kuwa taifa lao linaibiwa, wapinzani tulipata nguvu. Tukapata heshima ya kuwa wakombozi wa taifa hili dhidi ya mafisadi wanaolitafuna taifa letu.


Sasa rais wa JMT ambaye ni mwenyekiti wa taifa wa CCM amebariki ufisadi wazi wazi kwenye runinga. Huu ndio wakati wa kuwaeleza wananchi juu ya hili na wananchi wapate imani juu yetu ili kuig'oa CCM ya mafisadi.
Hauchoki?unafikiri kuandika humu mara kwa mara ndio itakuwaje?chukua hatua kujitokeza hadharani may be utaungwa mkono na wengine wakuone but humu kuanzisha thread kila mara haitasaidia
 
Hauchoki?unafikiri kuandika humu mara kwa mara ndio itakuwaje?chukua hatua kujitokeza hadharani may be utaungwa mkono na wengine wakuone but humu kuanzisha thread kila mara haitasaidia
Mimi ni Kamanda Asiyechoka, kupitia humu ujumbe unafika kabisa ndio maana na wewe umekufikia.
 
Back
Top Bottom