Hoja yangu.

Hoja yangu.

Gasman

Member
Joined
Mar 29, 2013
Posts
66
Reaction score
4
Habar ndugu jamaa na marafiki,ninajambo ambalo labda kwauelewa wangu nashindwa kuelewa vzur kimsing jambo hili linan sumbua sana,"INAKUAJE KIONGOZ WAJUU ANAPOKUWA NA ZIARA YAKE BINAFS AU SAFAR YAKE BNAFS,BARABARA ANAYOTUMIA NDIYO INAYOTUMIWA NA RAIA KWA SHUGHURI MBALI2.ALAFU KAZ ZA WATU ZINA SIMAMISHWA KWAMUDA WA SAA1 AU ZAID HAD KIONGOZ HUYO APITE."je huu ni utaratibu,sheria au ninini?naomba kuwekwa sawa,hii kitu imesababsha mgonjwa wangu kushindwa kufka hosptal kwa wakat.kiongoz huyo alikuwa akienda kwenye harus.nawatakia j3 njema.
 
Karibu sana JF, huku jukwaa la utambulisho
 
Mkuu kuhusu hili hata mimi na shindwa kuandika,lakini hapo hakuna SHERIA wala KANUNI isipokuwa huo ni unyayasaji wa waz.
 
Back
Top Bottom