Holy Redemption: Makala ya mpango mzima wa wizi unaofanywa na Wayahudi katika ardhi ya Wapalestina

Holy Redemption: Makala ya mpango mzima wa wizi unaofanywa na Wayahudi katika ardhi ya Wapalestina

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Watu wengi hususani afrika hawaelewi ugomvi baina ya Wapelestina na Wayahudi. Mara nyingi wamekuwa wakilaumiwa waarabu pale wanapolipiza mabaya wanayofanyiwa na Wayahudi ndani ya ardhi yao.

Angalia hii makala na ujue ukatili na unyanyasaji unaofanywa na wavamizi wa kiyahudi dhidi ya Wapalestina.


View: https://m.youtube.com/watch?v=mF6B5UVupyA
 
Ukisema Wayahudi ni wavamizi, unaonekana ni mjinga, usiyeijua historia. Ukweli ni kuwa nchi ya Canaan, kiuhalisia ilikuwa ni ardhi ya makabila yale 12 ya Israel lakini wakati wote kulikuwepo na jamii nyingine kwa idadi ndogo kwenye eneo hilo hilo..

Kutokana na vita mbalimbali, na kwa kuzingatia hiyo jamii ya Wayahudi ilikuwa imepata mandeleo ya kiasi fulani kuyazidi makabila mengi, waliweza kusafiri na kuishi katika mataifa mbalimbali, na hivyo kuiacha sehemu kubwa ya ardhi ya Baba zao, na hivyo kutoa nafasi kwa vizazi vya Waarabu kujichukulia ardhi hiyo na kuifanya kuwa ya kwao pekee yao. Uharamia wa Hitler dhidi ya Wayahudi, kuliwafanya Wayahudi kuikumbuka nchi ya baba zao, na hivyo chini ya kampeni ya Zionism, Wayahudi wote kokote waliko, walihamasishwa kurudi ilikokuwa nchi ya Canaan. Waliporudi, sehemu kubwa ya nchi hiyo iliyokuwa ya Canaan ilikuwa imechukuliwa na Misri, Lebanon, Syria na Iraq. Wayahudi walikuwa tayari kuishi pamoja na wale Waarabu waliowakuta kwenye ardhi ya Baba zao, eneo la Palestine, lakini kwa ushawishi wa nchi za Kiarabu, Waarabu wa Palestine, walikataa kuwa sehemu ya nchi ya waliyotaka itambulike kwa jina la Israel. Waarabu wa Palestine wakagawiwa 40% ya eneo lote, nchi za kiarabu zikawashawishi waarabu wa Palestine kuwa wasiikubali hiyo 40% maana wao Waarabu watawasaidia kuwaua Wayahudi wote ili wao waarabu wa Palestine walichukue eneo lote, matokeo yake, mambo yakawa kinyume. Waarabu wa Palestine wakazidi kupoteza ile 40%, na leo wamebanana kwenye eneo lisilozidi 10%.

Nchi za Kiarabu, hasa Misri, Iran, Syria, na Lebanon ndiyo za kulaumiwa katika kuwafanya waarabu wa Palestine kukosa kuwa na ardhi, na hata kuendelea kwa hivi vita vinavyoangamiza maelfu ya watu wasio na hatia.

Suluhisho lipo, lakini kwa sasa, kikwazo kikubwa ni Iran.
 
Ukisema Wayahudi ni wavamizi, unaonekana ni mjinga, usiyeijua historia. Ukweli ni kuwa nchi ya Canaan, kiuhalisia ilikuwa ni ardhi ya makabila yale 12 ya Israel lakini wakati wote kulikuwepo na jamii nyingine kwa idadi ndogo kwenye eneo hilo hilo..

Kutokana na vita mbalimbali, na kwa kuzingatia hiyo jamii ya Wayahudi ilikuwa imepata mandeleo ya kiasi fulani kuyazidi makabila mengi, waliweza kusafiri na kuishi katika mataifa mbalimbali, na hivyo kuiacha sehemu kubwa ya ardhi ya Baba zao, na hivyo kutoa nafasi kwa vizazi vya Waarabu kujichukulia ardhi hiyo na kuifanya kuwa ya kwao pekee yao. Uharamia wa Hitler dhidi ya Wayahudi, kuliwafanya Wayahudi kuikumbuka nchi ya baba zao, na hivyo chini ya kampeni ya Zionism, Wayahudi wote kokote waliko, walihamasishwa kurudi ilikokuwa nchi ya Canaan. Waliporudi, sehemu kubwa ya nchi hiyo iliyokuwa ya Canaan ilikuwa imechukuliwa na Misri, Lebanon, Syria na Iraq. Wayahudi walikuwa tayari kuishi pamoja na wale Waarabu waliowakuta kwenye ardhi ya Baba zao, eneo la Palestine, lakini kwa ushawishi wa nchi za Kiarabu, Waarabu wa Palestine, walikataa kuwa sehemu ya nchi ya waliyotaka itambulike kwa jina la Israel. Waarabu wa Palestine wakagawiwa 40% ya eneo lote, nchi za kiarabu zikawashawishi waarabu wa Palestine kuwa wasiikubali hiyo 40% maana wao Waarabu watawasaidia kuwaua Wayahudi wote ili wao waarabu wa Palestine walichukue eneo lote, matokeo yake, mambo yakawa kinyume. Waarabu wa Palestine wakazidi kupoteza ile 40%, na leo wamebanana kwenye eneo lisilozidi 10%.

Nchi za Kiarabu, hasa Misri, Iran, Syria, na Lebanon ndiyo za kulaumiwa katika kuwafanya waarabu wa Palestine kukosa kuwa na ardhi, na hata kuendelea kwa hivi vita vinavyoangamiza maelfu ya watu wasio na hatia.

Suluhisho lipo, lakini kwa sasa, kikwazo kikubwa ni Iran.
Hapa unaongea mboyoyo ulizokaririshwa na mtume wako feki huko kanisani.

Kabla ya wayahudi kuingia Palestine miaka 5000 iliyopita wakitokea misri...je hizo ardhi hazikuwa na wenyewe?
 
Ukisema Wayahudi ni wavamizi, unaonekana ni mjinga, usiyeijua historia. Ukweli ni kuwa nchi ya Canaan, kiuhalisia ilikuwa ni ardhi ya makabila yale 12 ya Israel lakini wakati wote kulikuwepo na jamii nyingine kwa idadi ndogo kwenye eneo hilo hilo..

Kutokana na vita mbalimbali, na kwa kuzingatia hiyo jamii ya Wayahudi ilikuwa imepata mandeleo ya kiasi fulani kuyazidi makabila mengi, waliweza kusafiri na kuishi katika mataifa mbalimbali, na hivyo kuiacha sehemu kubwa ya ardhi ya Baba zao, na hivyo kutoa nafasi kwa vizazi vya Waarabu kujichukulia ardhi hiyo na kuifanya kuwa ya kwao pekee yao. Uharamia wa Hitler dhidi ya Wayahudi, kuliwafanya Wayahudi kuikumbuka nchi ya baba zao, na hivyo chini ya kampeni ya Zionism, Wayahudi wote kokote waliko, walihamasishwa kurudi ilikokuwa nchi ya Canaan. Waliporudi, sehemu kubwa ya nchi hiyo iliyokuwa ya Canaan ilikuwa imechukuliwa na Misri, Lebanon, Syria na Iraq. Wayahudi walikuwa tayari kuishi pamoja na wale Waarabu waliowakuta kwenye ardhi ya Baba zao, eneo la Palestine, lakini kwa ushawishi wa nchi za Kiarabu, Waarabu wa Palestine, walikataa kuwa sehemu ya nchi ya waliyotaka itambulike kwa jina la Israel. Waarabu wa Palestine wakagawiwa 40% ya eneo lote, nchi za kiarabu zikawashawishi waarabu wa Palestine kuwa wasiikubali hiyo 40% maana wao Waarabu watawasaidia kuwaua Wayahudi wote ili wao waarabu wa Palestine walichukue eneo lote, matokeo yake, mambo yakawa kinyume. Waarabu wa Palestine wakazidi kupoteza ile 40%, na leo wamebanana kwenye eneo lisilozidi 10%.

Nchi za Kiarabu, hasa Misri, Iran, Syria, na Lebanon ndiyo za kulaumiwa katika kuwafanya waarabu wa Palestine kukosa kuwa na ardhi, na hata kuendelea kwa hivi vita vinavyoangamiza maelfu ya watu wasio na hatia.

Suluhisho lipo, lakini kwa sasa, kikwazo kikubwa ni Iran.
Lawama sio nchi za kiarabu bali lawama ziende kwa Uingereza na washirika wake waliopanda mbegu ya kiyahudi katika ardhi ya Palestina kwa michoro ya sykes na picot
 
Ukisema Wayahudi ni wavamizi, unaonekana ni mjinga, usiyeijua historia. Ukweli ni kuwa nchi ya Canaan, kiuhalisia ilikuwa ni ardhi ya makabila yale 12 ya Israel lakini wakati wote kulikuwepo na jamii nyingine kwa idadi ndogo kwenye eneo hilo hilo..

Kutokana na vita mbalimbali, na kwa kuzingatia hiyo jamii ya Wayahudi ilikuwa imepata mandeleo ya kiasi fulani kuyazidi makabila mengi, waliweza kusafiri na kuishi katika mataifa mbalimbali, na hivyo kuiacha sehemu kubwa ya ardhi ya Baba zao, na hivyo kutoa nafasi kwa vizazi vya Waarabu kujichukulia ardhi hiyo na kuifanya kuwa ya kwao pekee yao. Uharamia wa Hitler dhidi ya Wayahudi, kuliwafanya Wayahudi kuikumbuka nchi ya baba zao, na hivyo chini ya kampeni ya Zionism, Wayahudi wote kokote waliko, walihamasishwa kurudi ilikokuwa nchi ya Canaan. Waliporudi, sehemu kubwa ya nchi hiyo iliyokuwa ya Canaan ilikuwa imechukuliwa na Misri, Lebanon, Syria na Iraq. Wayahudi walikuwa tayari kuishi pamoja na wale Waarabu waliowakuta kwenye ardhi ya Baba zao, eneo la Palestine, lakini kwa ushawishi wa nchi za Kiarabu, Waarabu wa Palestine, walikataa kuwa sehemu ya nchi ya waliyotaka itambulike kwa jina la Israel. Waarabu wa Palestine wakagawiwa 40% ya eneo lote, nchi za kiarabu zikawashawishi waarabu wa Palestine kuwa wasiikubali hiyo 40% maana wao Waarabu watawasaidia kuwaua Wayahudi wote ili wao waarabu wa Palestine walichukue eneo lote, matokeo yake, mambo yakawa kinyume. Waarabu wa Palestine wakazidi kupoteza ile 40%, na leo wamebanana kwenye eneo lisilozidi 10%.

Nchi za Kiarabu, hasa Misri, Iran, Syria, na Lebanon ndiyo za kulaumiwa katika kuwafanya waarabu wa Palestine kukosa kuwa na ardhi, na hata kuendelea kwa hivi vita vinavyoangamiza maelfu ya watu wasio na hatia.

Suluhisho lipo, lakini kwa sasa, kikwazo kikubwa ni Iran.
hapa nikupe changamoto kidogo mkuu. ukisema hivyo basi na wangoni leo warudi SA wakadai ardhi ambayo walitokea kabla? na tukiruhusu hilo basi na wakalenjini, wamasai, wajaluo wakarudi Sudan kudai maeneo yao

wayahudi lazima wana tatizo sehemu kwanini walalamikiwe maeneo yote waliyopita barani Ulaya? waarabu ni watu hovyo, primitive sikatai juu ya hilo. lakini kuna ukweli tunafichwa na kulazimishwa kwamba wapalestine ndio kikwazo mchakato wa amani toka mwanzo. there must be something fishy kuhusu waisrael.
 
Watu wengi hususani afrika hawaelewi ugomvi baina ya Wapelestina na Wayahudi. Mara nyingi wamekuwa wakilaumiwa waarabu pale wanapolipiza mabaya wanayofanyiwa na Wayahudi ndani ya ardhi yao.

Angalia hii makala na ujue ukatili na unyanyasaji unaofanywa na wavamizi wa kiyahudi dhidi ya Wapalestina.


View: https://m.youtube.com/watch?v=mF6B5UVupyA

TRT ni television ya Uturuki kama ilivyo aljezeera ya Qatar.
Zote zinaeneza propaganda za chuki dhidi ya Israel. Tupuuze propaganda za uongo na chuki
 
Katika mwezi na november 1917 ya uingereza ilifanya kioja cha ajabu ingereza ilikuwa kinara katika secular world wide yaani elimu mseto alitenganisha dini na siasa walipitisha azimio la balfur mbili mwezi wa kumi na moja elfu moja mia tisa kumi na saba serikali hii azimia kuanzisha taifa la wayahudi kwa kwa nini taifa la secular taifa la wayahudi? Mwezi wa kumi na mbili elfu moja mia tisa kumi na saba jeshi la msalaba la waingereza liliongozwa na alanby akiwa jenerali wa kikosi alipiga jeshi la ottoman na alipoingia jerusalem alitangaza kuwa vita ya msalaba imekwisha na hakuna crusade nyingine .
1917-1948 ni uingereza ndiyo iliyoikalia ardhi takatifu kwa makubaliano na the league of nations.
Tangu kipindi hicho uingereza iliendelea kuikalia palestine na kufungua milango kwa wayahudi wa ulaya na kutangaza ile ni nchi yao baadaye ujerumani na hivyo kuongeza wayahudi kuhamia palestine.SOMA HISTORY YA FORM SIX TANZANIA
 
N
hapa nikupe changamoto kidogo mkuu. ukisema hivyo basi na wangoni leo warudi SA wakadai ardhi ambayo walitokea kabla? na tukiruhusu hilo basi na wakalenjini, wamasai, wajaluo wakarudi Sudan kudai maeneo yao

wayahudi lazima wana tatizo sehemu kwanini walalamikiwe maeneo yote waliyopita barani Ulaya? waarabu ni watu hovyo, primitive sikatai juu ya hilo. lakini kuna ukweli tunafichwa na kulazimishwa kwamba wapalestine ndio kikwazo mchakato wa amani toka mwanzo. there must be something fishy kuhusu waisrael
Ni sawa na Waislam waarabu RSF wanavyowaua waislam weusi Sudan ( Race Cleansing) ingia hata google au YouTube uone watu weusi wanavyochinjwa. Ila kwasababu haya yanafanywa na waarabu dhidi ya waislam weusi hamuongei.


Siku Hawa weusi wakija kudai ardhi Yao mtasema waarabu wameonewa hapo Sudan.
 
Lawama sio nchi za kiarabu bali lawama ziende kwa Uingereza na washirika wake waliopanda mbegu ya kiyahudi katika ardhi ya Palestina kwa michoro ya sykes na picot
Kwa hyo hawakutumia bikoni kwenye kupima
 
Hapa unaongea mboyoyo ulizokaririshwa na mtume wako feki huko kanisani.

Kabla ya wayahudi kuingia Palestine miaka 5000 iliyopita wakitokea misri...je hizo ardhi hazikuwa na wenyewe?
Sasa kama walikuwepo watu nani anapaswa kuulizwa. Maana wao waliletwa na kupewa na Mungu.
 
Katika mwezi na november 1917 ya uingereza ilifanya kioja cha ajabu ingereza ilikuwa kinara katika secular world wide yaani elimu mseto alitenganisha dini na siasa walipitisha azimio la balfur mbili mwezi wa kumi na moja elfu moja mia tisa kumi na saba serikali hii azimia kuanzisha taifa la wayahudi kwa kwa nini taifa la secular taifa la wayahudi? Mwezi wa kumi na mbili elfu moja mia tisa kumi na saba jeshi la msalaba la waingereza liliongozwa na alanby akiwa jenerali wa kikosi alipiga jeshi la ottoman na alipoingia jerusalem alitangaza kuwa vita ya msalaba imekwisha na hakuna crusade nyingine .
1917-1948 ni uingereza ndiyo iliyoikalia ardhi takatifu kwa makubaliano na the league of nations.
Tangu kipindi hicho uingereza iliendelea kuikalia palestine na kufungua milango kwa wayahudi wa ulaya na kutangaza ile ni nchi yao baadaye ujerumani na hivyo kuongeza wayahudi kuhamia palestine.SOMA HISTORY YA FORM SIX TANZANIA
Nlitaka kukkubali..lakini ulivyo sema form 6 tena Tanzania ,nime kataa
 
Hapa unaongea mboyoyo ulizokaririshwa na mtume wako feki huko kanisani.

Kabla ya wayahudi kuingia Palestine miaka 5000 iliyopita wakitokea misri...je hizo ardhi hazikuwa na wenyewe?
Hao wenyewe wa kipindi hicho siyo hawa waarabu wanaojiita wapalestina. Basi kama ndo hivyo wote wanapambania ardhi ya watu! Acha wapambane mshindi akalie nchi
 
TRT ni television ya Uturuki kama ilivyo aljezeera ya Qatar.
Zote zinaeneza propaganda za chuki dhidi ya Israel. Tupuuze propaganda za uongo na chuki
Hao waliohojiwa ni waturuki...hao kina Daniella weiss ni waturuki wa Istanbul? Sidhani hata kama umejaribu kuiangalia huyo documentary uone mambo wanayofanyiwa wapalestina Ghaza na Hebron
 
Hapa unaongea mboyoyo ulizokaririshwa na mtume wako feki huko kanisani.

Kabla ya wayahudi kuingia Palestine miaka 5000 iliyopita wakitokea misri...je hizo ardhi hazikuwa na wenyewe?
Kweli nyani haoni *****lake!
Wayahudi walitokea Misri kuingia Palestine!
Bibi kifimbo cheza Faiza njoo huku!
 
N

Ni sawa na Waislam waarabu RSF wanavyowaua waislam weusi Sudan ( Race Cleansing) ingia hata google au YouTube uone watu weusi wanavyochinjwa. Ila kwasababu haya yanafanywa na waarabu dhidi ya waislam weusi hamuongei.


Siku Hawa weusi wakija kudai ardhi Yao mtasema waarabu wameonewa hapo Sudan.
tatizo akili yako ishakuambia kila anayekosoa wayahudi ni mwislamu.
sina mahaba na wayahudi wala waarabu na zaidi siumizwi na mgogoro wao kama inavyoniumiza matatizo ya DRC au Haiti.

hayo unayoyaeleza nayajua kabla hujazaliwa. hakuna asiyejua udhalimu wa waarabu wa Sudan mpaka kupelekea mgawanyiko wa nchi mbili na kuzaliwa Sudan Kusini
 
Back
Top Bottom