Uchaguzi 2020 Homa ya Urais Zanzibar yazidi kupanda; Waziri wa Maji na umwagiliaji Makame Mbararawa ajitosa kuchukua fomu za urais kupitia CCM

Tuliowatarajia wanaendelea kuchukua form.

Mh. Mohamed Aboud, nenda ukachukue fomu ili mtanange uanze.
 
Tatizo ni moja tu, rais wa SMZ anawekwa na wabara, na yeye anajua kabisa tokea awali kwamba yuko pale kwa msaada wa bara, hivyo anakua kama anafuata maelekezo kutoka bara.

Gwanda limemkaa kisawasawa Prof.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…