Acha umbea uliambiwa baada ya mwezi watapiga simu, wataweka kwenye mtandao. Unajipa mahope wakati mtihani huo huo wamefanya Hombolo, Mipango, TAEC na COASCO so high competion baba>
Sasa kama wamefanya huo COASCO, TAEC na MIPANGO, yeye ina muhusu nini? wivu tu unakusumbua.