Sasa bees waliahidiwa 70M inakuwaje tena 🤣🤣🤣😂😂💪🏿💪🏿💪🏿📌🔨 Tunaendelea huko kumsulubu mbabe wa mtani
Mfano Mshana Jr mchoro mzuri wakuweka kwenye biasharaKuna connection kinda sana kiroho kati ya afya, mafanikio ulinzi na bahati kwenye rangi na michoro
njoo ulishe nguruwe wangu acha kukaa kizembe mjini hapaAsante Mimi sina kazi nitaendelea kufanya hivyo🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kuna ndugu tumemlipia deni lakini hatumtajiWatazipata wakicheza na mnyonge wao, wawe na subra😄