INAUZWA Home Items tumekufikia mpaka nyumbani kwako

sherberry

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
306
Reaction score
364
Sisi ni wauzaji wa home decoration na home appliances,tunauza
Mashuka
Duvets
Vyombo vya aina mbalimbali
Pazia
Indoor shoes za jinsia zote hadi
watoto
GHARAMA ZETU NI NAFUU MNOOO

CONTACT:0767626990 WHTSAAP OR CALL
TUNAFANYA DELIVERY DAR NA MIKOA YOTE PAMOJA NA NCHI JIRAN TUNATUMA KWA UAMINIFU.

 
Wabongo tunafeli sana biashara za online....Umeweka mapicha kibao halafu hakuna yenye bei hata moja...nonsense ,kajifunze kina alibaba,ebay,beforward wanavyofanya kazi.
Asante rafiki kwa ushauri tutafanya hivyo.karibu sana.
 
Duvet zetu ni pure cotton ,tunafanya delivery na mikoa yote tunatuma kwa uaminifu kabisa.
 
Breakfast maker 150000/=

HII NI ZAID YA MICROWAVE

Inapika
Inapasha
Inachoma
Inapika maziwa..chai..kahawa
Inaroast

UKIWA NAYO HOME UMEWIN
150000 tu.

Kodtec brand[emoji91][emoji91]
 
Kuna mahali nilienda kupata juice nikaletewa juice nzito kama vile haijachujwa,nikadhani kuna Brenda za kufanya hivyo je n kweli zipo??mnazo??mnauzaje??
 
Yes tunazo boss ,zinaitwa juicer huweki maji kabisa na inajichuja yenyewe .inauzwa 130000 tu karibu
 
Kuna mahali nilienda kupata juice nikaletewa juice nzito kama vile haijachujwa,nikadhani kuna Brenda za kufanya hivyo je n kweli zipo??mnazo??mnauzaje??
Nimereply juu hapo please check.
 
Kuna mahali nilienda kupata juice nikaletewa juice nzito kama vile haijachujwa,nikadhani kuna Brenda za kufanya hivyo je n kweli zipo??mnazo??mnauzaje??
Na nyingine hiyo ,ni multifunction inaitwa 10 in one ,inafanya vitu vingi kwa wakati mmoja
Inasaga juice
Ina chopper
Ni heavy duty
Unatengeneza smooth
Na vingine vingi
Hii bei yake imechangamka inauzwa laki mbili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…