Home makers: Beauty and stylish

Leo nimekubamba halafu haifiki hata 10000 kwa lamp mojaView attachment 2162447
Umenibambaje sasa?
Hiyo pesa unalipia kwa dola unajua exchange rate ya mtandaoni ni bei gani?
Kuna charge ya kutuma pesa unajua ni bei ganj?
Kuna kuisafirisha mpaka kwa agent unajua ni bei gani?
Kuna agent fee ya kuileta mpaka Tanzania unajua ni bei gani?
Kuna kuifuata ama agent kukuletea ulipo sio bure zote hizo ni gharama
Piga hesabu uone kama utapata hiyo bei yako ya 7000..
Tofauti na hapo jaribu free shipping ndio utapata kitonga Lakini ikifika posta bongo kama sio registered parcel utalipa si chini ya 5000
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…