Kwa wachezaji hawa wa Mbuzi kafia kwa Muuza Supu sidhani Msimu wa 2015 watarudi...
There is no uefa champion league without ac milan
Doh.......!
There is no uefa champion league without ac milan
Ac Milan mnacheza mpira mzuri sana na nnaweza nikasema ninyi ndio Team pekee ambayo ina kikosi bora zaidi hapa duniani na hiki kikosi mlichonacho hakijawahi tokea kabla ndani ya Milan. Mkiendelea na mpira huu mimi nawaambia mtafika mbali sana ktk ulimwengu wa Soka, mna Kocha mzuri, wachezaji wazuri, Bora Uongozi, na mashabiki walio na uzalendo na timu yao. Mnacheza Soka la kuvutia sana, hata Barcelona wangependa wacheze kama nyie.
tatizo la Milan linahusiana na mmiliki wake muda mwingi alikuwa anaitumia hii timu ili kupata umaarufu kisiasa lakini baada ya kuona uwezekano wa kurudi kwenye siasa ameitelekeza ameacha kununua wachezaji bora badala yake amekuwa akiuza wachezaji bora,ameacha kuleta kocha wa maana kiukweli Serdoff hana uwezo wa kuongoza timu kubwa kama ile anaongea sana kuliko vitendo wachezaji kama Bonera,Essien,Abate hata Abbiat sio wa kuchezea Milan Abbiat amepitwa na wakati hawana mfungaji sahihi wameshindwa kupata wafungaji kiukweli managementi inastahili kubeba lawama zote
muacheni kaka yetu jamani!kama mie nimeumia hivi sijui yeye ana hali gani?
Safi sana Milan, mmekufa kiume.
yakhe mie ndo naamka hapa...ila bado hali si shwari kaka
hahaha mimi mpita njia tu hapaheh heh heh ngoja nduguyo Gutierez akatize kwenye huu uzi...dah atabwabwaja ile mbaaaya...
Ila all in all hongereni.
Ila robo final na Bayern tena.