Home of AC Milan, Official Thread

shika adabu yako wewee

Arturo Vidal scored twice to give title-holders Juventus a 3-0 win over Cesena as they became the first team in Serie A history to complete their opening four without conceding a goal.
 
Arturo Vidal scored twice to give title-holders Juventus a 3-0 win over Cesena as they became the first team in Serie A history to complete their opening four without conceding a goal.

mbio za ubingwa kwa msimu huu ni #roma na #juve . Milan, Napoli, inter hawa wote wanashiriki. Nini kimelisibu soka la italia?

juve2012, Mourinho, pachanya Gang Chomba, Belo, myao wa tunduru Viper Viol, EMT, na wadau wengine njooni tujadili.

Kuna makala moja iliwekwa pale goal.com ikizungumzia hii kitu, jamaa walichambua vizuri sana.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

Nadhani juve2012 ame-summarize vizuri hapo juu ingawa nilishawahi kutupia uchambuzi wa BBC World kwenye jukwaa la Bianconeri juu ya hili, ulikua ni uchambuzi ulioshiba vizuri sana, nitaitafuta ile post niilete tena hapa
Ulichotakiwa kufanya ni kuleta hiyo makala ya Goal.com au uweke hata link hapa Mkuu
 
Last edited by a moderator:

...juve2012 kasema vema, uchumi umechangia kushusha soka la italia. Kuanzia katikati ya miaka ya 80 mpaka mwisho wa miaka ya 90 soka la italia lilikuwa juu kuliko soka la nchi nyingine barani ulaya. Wachezaji wa aina ya Maradona, Gulit, van Busten, jean papin, Geogre Weah, na majina mengine makubwa, hawakuvutiwa na ligi nyingine za ulaya kila mmoja alipenda kuchezea vilabu vya italia.

Mkuu Mourinho, link nimejaribu kuitafuta sijaiona. Ila ilikuwa kama wiki mbili zilizopita. Jaribu unaweza kuiona.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…