Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
- Thread starter
-
- #1,561
Aaaaaaaaaaaaah!!!!!! Gang Chombaaaaaaaaaaaaa, upo Kaka?
eti leo mna game?
Mbona siku misimu hii miwili mitatu mmekuwa adimu ww na Mourinho, Jukwaa limejawa na pumba nyingi.hah hah hah nipo sheikh....
Aaaaaaaaaaaaah!!!!!! Gang Chombaaaaaaaaaaaaa, upo Kaka?
Mbona siku misimu hii miwili mitatu mmekuwa adimu ww na Mourinho, Jukwaa limejawa na pumba nyingi.
Duh mpaka leo unashabikia Milan bado?mie ndugu yangu kila nikitaka kutia pua humu Milan wananijambia...dah basi nimejikita zaidi jukwaa la Mapishi...
Mbona siku misimu hii miwili mitatu mmekuwa adimu ww na Mourinho, Jukwaa limejawa na pumba nyingi.
abajalo
yanga
ac milan
azzurri
Me siku hizi nipo kama sniper vile maana watu mnashinda MMU na Jukwaa la Mapishi, ntajadiliana na nani? juve2012 sijui kaokoka siku hizi? Utamkuta anabishana kule kwenye 'ubishi' usioishaga, mabuluda wengine sijui wako wapi, hivi gutierez naye kapotelea wapi? Wapi Viper, bologna, myao wa tunduru na wengine?
Ndio maana siku hizi utanikuta kijiwe cha kina MosDef na Janjaweed napiga mastory ya soka na hawa wakongwe wa soka la Uingereza na Yuropa
teh teh kumbe mlishashika ukuta dakika ya 11 na goli ya Lrolent ni la kusawazisha?
kwi kwi kwi ishi ujionee
Huyo Gutierez ndo kapotea vibaya vibaya.Me siku hizi nipo kama sniper vile maana watu mnashinda MMU na Jukwaa la Mapishi, ntajadiliana na nani? juve2012 sijui kaokoka siku hizi? Utamkuta anabishana kule kwenye 'ubishi' usioishaga, mabuluda wengine sijui wako wapi, hivi gutierez naye kapotelea wapi? Wapi Viper, bologna, myao wa tunduru na wengine?
Ndio maana siku hizi utanikuta kijiwe cha kina MosDef na Janjaweed napiga mastory ya soka na hawa wakongwe wa soka la Uingereza na Yuropa
mwekundu ndio muasisi wa MMUHuyo Gutierez ndo kapotea vibaya vibaya.
kuna mmoja alkuwa anaitwa Mwekundu, nae kapotea vike vile
Yaani siku hizi Mechi hazirushwi LIVE JamiiForums
Hahahahahahaa Abajalo si nilisikia imefilisika ikajiunga na Sinza stars?
teh teh mmeinamishwa tena wakulungwa...
Acha ungese wewe, baiskeli ya mti hiyo ila leo tunacheza kingesengese sana hasa kwenye mido
dakika ya 84 hiooooo
Ngoma imelala hiyo, tutapeleka msiba hukohuko Florence