FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
Da! kwa bahati mbaya kwangu picha haipokei, zinatokea alama ya X nyekundu.
Nimekosa uhondo.
Ubarikiwe F1 saa ya lunch hii umenipa appetite ya kula leo ofisini maana huwa mvivu kweli.
PROTINI na STACHI kwa wiiiiiiiiiiiiiiingiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
Mboga za majani na matunda kiduchuuuuuuuuuuuuu!
Kweli bongo menu weraweraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa