hivi ikitokea mtoto wako mdogo, lets say 4yrs ameingia chumbani kwako gafla wakati mkicheza mchezo wa baba na mama, anashituka na kuondoka. lakini later anaukuuliza baba ulikua unafanya nn ana mama? utaexplain vipi?:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
hivi ikitokea mtoto wako mdogo, lets say 4yrs ameingia chumbani kwako gafla wakati mkicheza mchezo wa baba na mama, anashituka na kuondoka. lakini later anaukuuliza baba ulikua unafanya nn ana mama? utaexplain vipi?:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
Hapo kwenye RED tu inaaminsha keshajua nn kilikua kinaendelea.......la sivyo asingeondoka!! Watoto wa Dot.Com hao!!hivi ikitokea mtoto wako mdogo, lets say 4yrs ameingia chumbani kwako gafla wakati mkicheza mchezo wa baba na mama, anashituka na kuondoka. lakini later anaukuuliza baba ulikua unafanya nn ana mama? utaexplain vipi?:A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39::A S 39:
mko careless kiasi cha kuacha mlango wazi?au ndio kujisahau?:twitch:
So kama kitu kimetokea bila kupangwa utaenda kufunga mlango ,dunia ina stress sometime ukikatisha na kwenda kufunga mlango unakumbuka madeni na inakuwa mwisho wa mchezo.