High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Pole Sana hiyo cha mtoto jaribu Nissan X trailKama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa
View attachment 1950104
Hiyo gari haina shida kabisa in terms of
Stability
Durability
Fuel consumption nk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jibu konki hili lol.Ukiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe.
Bora umetoa ushuuda mapema mkuu. Maana hizi gari nilikuwa nazitolea macho sana.Kama una hela za mawazo nakushauri usijichanganye ukanunua Honda CR-V utajuta. Nilinunua kwenye mnada Morogoro - Kilimo linanitesa kuliko maelezo. Nimekaribu kuliuza kupitia madalali, nikifika picha hakuna anayejibu.
*** Nawataadharisha maana huko mitandaoni Bei inavutia Ila ukijichanganya usije kusema hukuambiwa
View attachment 1950104
Naona nawwe limekudodea so unataka uwaingize mkenge wapigakura.Tatizo matunxo halafu unakuja kufungua uzi eti HONDA C-RV zinasumbua ,huo ni uwongo ,tena mkubwa hakuna brand imra nzuri ,na matunzo yake ni kiduchu sana compare na Toyota Rava 4 ,
Mmezoea kudanganyana pitia bac hata forum mbalimbali soma uone watu walivyotoa credit ,wazungu hawana ubabaishaji sio kama manazi wa Toyota wa Jf
Honda ndio mpango mzima ,honda fit ,honda CRV,Honda ondensy , narudia onda zidumu milele
sent from HUAWEI
Kwa sasa zipo zinapatikana kwa bei vumilika.. Ukiamua kuagiza mtandaoni ndio kabisa bwerereVipi kuhusu spea zinapatikana ?? Ghalama zake ziko vipi
Or you are not the target audienceUkiona kitabu hukielewi hujaandikiwa wewe.
Ninayo mpk leo ,na sijawahi kuijutia tena ni namba B ila imekaza haswaa popote naendaNaona nawwe limekudodea so unataka uwaingize mkenge wapigakura.
Kwa sasa zipo zinapatikana kwa bei vumilika.. Ukiamua kuagiza mtandaoni ndio kabisa bwerere
Ukienda kichwakichwa unapigwa kweliHii ya kusema mtandaoni mmmh kuna ndugu zangu wanalia [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata X- trail ilikuwa sumbufu wakati zinaingia kwasasa ukishindwa kuitunza ni uzembe wako tu. Mafundi wapo na spare zipo. Na ni imara sana ukiipatia.Pole Sana hiyo cha mtoto jaribu Nissan X trail
Wanaoharibu magari Ni mafundiMagari yote yanayoitwa yanasumbua ni kwasababu ya kukosa mafundi sahihi na uhaba wa spare zake.
Tz au Afrika mafundi wengi ni wa Toyota na spare za toyota zimejaa madukani.
Labda Kagame atatutoa kimasomaso na mradi wake wa Volks Wagen.