mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Ni wewe tu mkuuMkuu si bora niagize tu zinspatikana hadi kwa 28mil
M28 huwezi pata cross road! Labda IST!! Cross road mpaka M 67Mkuu si bora niagize tu zinspatikana hadi kwa 28mil
M28 huwezi pata cross road! Labda IST!! Cross road mpaka M 67
Sarcasm.Ist mil 28, cross road 67m heb wacha kuwapa chai watu
Nlimaanisha 18milM28 huwezi pata cross road! Labda IST!! Cross road mpaka M 67
Subaru Forester ni gari zuri na imara,hautojutia mkuuJamani wazoefu wa magari,, Gari Gani Bora zkwa mtu wa uchumi mdogo a budget ya 15million aipate iwe bora na mafuta kidogo,spea isiweshida,stability nzuri,haisumbu engine ovyo,,iinayoweza safiri masafa nk..Naomba ushauri
Kwa bajeti hiyo na vigezo hivyo tafuta IST Tena ikibidi agiza wewe mwenyewe bila kutumia dalali yoyote.Jamani wazoefu wa magari,, Gari Gani Bora zkwa mtu wa uchumi mdogo a budget ya 15million aipate iwe bora na mafuta kidogo,spea isiweshida,stability nzuri,haisumbu engine ovyo,,iinayoweza safiri masafa nk..Naomba ushauri
Mleta mada kaja na utani, sisi wachangiaji tunazidisha utani zaidiIst mil 28, cross road 67m heb wacha kuwapa chai watu
M28 huwezi pata cross road! Labda IST!! Cross road mpaka M 67
Mkuu si bora niagize tu zinapatikana hadi kwa 28mil
Chukua spacio new modelJamani wazoefu wa magari,, Gari Gani Bora zkwa mtu wa uchumi mdogo a budget ya 15million aipate iwe bora na mafuta kidogo,spea isiweshida,stability nzuri,haisumbu engine ovyo,,iinayoweza safiri masafa nk..Naomba ushauri