hizi gari ni verry expensive kurun, nadhani ndio maana unaiuza, mafuta inakula sana, hata vipuli vyake ni ghali sana, tafuta mtu umbambikie mkuu, litakufilisi hilo
hizi gari ni verry expensive kurun, nadhani ndio maana unaiuza, mafuta inakula sana, hata vipuli vyake ni ghali sana, tafuta mtu umbambikie mkuu, litakufilisi hilo
Katika gari zinazokula mafuta vizuri ni Honda CVR, pia spea zake ni genuine, ukiweka spea hesabu miaka. Ni kweli spea kipindi cha nyuma spea zilikuwa shida kwa sababu gari zilikuwa chache,lakini sasa hivi gari ni nyingi na spea zipo.Mimi nina honda ya mwaka 1998, milleage ni kama hizo sijaona tatizo la mafuta kabisa.kama pesa yako unategemea mshahara wa laki mbili mpaka tano huwezi kuendesha gari, utaiba bure au nunua bajaji.Honda tuzungumzie watu wenye kipato,na gari yoyote kama alivyochangia mwenzetu pale juu,inaitaji matumzo sio unanunua gari unavisenti vya laki mbili au unategemea vimishara vya hajabu utanunua na kuuza kila mara.HONDA POA KABISA,
hizi gari ni verry expensive kurun, nadhani ndio maana unaiuza, mafuta inakula sana, hata vipuli vyake ni ghali sana, tafuta mtu umbambikie mkuu, litakufilisi hilo
teh teh teh we kula chako tu...Nimekusomaa jombaa!!! mimi mwenyewe nina mitsubish IO. nasikia maneno sana kwa watu ooh!! hizi gari vimeo lakini kaka nakula nayo maisha tu na iko sawa sana!!!!!
kwa mambo kama haya maendeleo hayaji ng'oooooo...hizi gari ni verry expensive kurun, nadhani ndio maana unaiuza, mafuta inakula sana, hata vipuli vyake ni ghali sana, tafuta mtu umbambikie mkuu, litakufilisi hilo