Sasa wats the meaning of being a self proclaimed sugar mammy?!
Sasa wats the meaning of being a self proclaimed sugar mammy?!
Kwani wewe unavyo jiita prisoner una maana gani? naomba unielewe hivi jina sio tija soma heading ujue wat am looking for sio ID name.
Sawa mamie,..wanakuja hapa.
I am unqualified..too bad for me.
Nina vigezo vyooooote kasoro kimoja tu ................umri
Asante mamaPole usikate tamaa utapata wa umri wako mungu yupo.
Vigezo vyote ninavyo, ila nina mke, je uko tayari kuwa the second? Lakini pia utakuwa tayari kumheshimu my wife kama utakavyoniheshimu mimi? hii ni kutokana na kwamba she is the one who makes me look handsome, energetic with a good income, I am in my late 30s. Nipe majibu ili nipate muda wa kuwasiliana nae mapema juu ya hili kama yuko tayari pia!Hallow to All
Hey guys am back again looking for honest and Good looking husband for my future life. am 37yrs old with two children. pliz if you are below 35 do'nt comment. nina kazi yangu pia ni mtu wa kufikiria future zaidi sio vinginevyo kama unaona una vigezo pliz you are wellcome.
Vigezo vyote ninavyo, ila nina mke, je uko tayari kuwa the second? Lakini pia utakuwa tayari kumheshimu my wife kama utakavyoniheshimu mimi? hii ni kutokana na kwamba she is the one who makes me look handsome, energetic with a good income, I am in my late 30s. Nipe majibu ili nipate muda wa kuwasiliana nae mapema juu ya hili kama yuko tayari pia!
Fine ila uwe umeshawatengenezea future yao the way i did to mine.
<br>Lol, thubutu! Yaani nimsaliti my wife kisa nimekuona wewe hapa JF? Nimekuambia unipe majibu mapema ili niongee naye juu ya hili ili kupata ridhaa yake, hii ni kutaka kukusaidia wewe sugar mummy! Akikataa basi si ridhiki.... Kwani labda kati yako na ex wako, ni nani aliyeanza kumsaliti mwenzake mpaka leo umefikia hapa? Basi ukifanikiwa kumpata mwingine, uwe na ka utaratibu ka kumshirikisha mwenzi wako kila mara unapotaka kuanzisha mahusiano mapya ya kimapenzi nje ya ndoa! Hii itakusaidia usiwe na migongano ndani ya ndoa yako, lakini pia kupunguza uwezekano wa kuwa na watoto wengi wa mitaani kama si yatima kabisa kwani magonjwa ni mengi!<br>thank you very much, lakini mimi napenda mtu anaheshimu mwenzake kama leo hii unataka kumsaliti your beloved wife je mimi si utanitenda zaindi. penda familia yako acha nitafute wakwangu, sitaki stress ila nataka raha na upendo