habari zenu.mimi nataka kuuza asali na samli
(ghee)nje ya nchi(kuexport),lakini sasa sina idea kabisa na
vitu hivi kabisa.naomba ushauri wenu kuhusu
market za nchi za nje za vitu hiv ambako panahitajika kwasana.na nitapata wapi
asali na samli ya high quality amabayo inahitajika
huko nje.na procedure za exportation.natanguliza shukurani.naomba ushauri wenu.
(ghee)nje ya nchi(kuexport),lakini sasa sina idea kabisa na
vitu hivi kabisa.naomba ushauri wenu kuhusu
market za nchi za nje za vitu hiv ambako panahitajika kwasana.na nitapata wapi
asali na samli ya high quality amabayo inahitajika
huko nje.na procedure za exportation.natanguliza shukurani.naomba ushauri wenu.