Tafuta soko kwanza ili ujue imported price yako.Then itakua easy for you to arrange some things.habari zenu.mimi nataka kuuza asali na samli
(ghee)nje ya nchi(kuexport),lakini sasa sina idea kabisa na
vitu hivi kabisa.naomba ushauri wenu kuhusu
market za nchi za nje za vitu hiv ambako panahitajika kwasana.na nitapata wapi
asali na samli ya high quality amabayo inahitajika
huko nje.na procedure za exportation.natanguliza shukurani.naomba ushauri wenu.
habari zenu.mimi nataka kuuza asali na samli
(ghee)nje ya nchi(kuexport),lakini sasa sina idea kabisa na
vitu hivi kabisa.naomba ushauri wenu kuhusu
market za nchi za nje za vitu hiv ambako panahitajika kwasana.na nitapata wapi
asali na samli ya high quality amabayo inahitajika
huko nje.na procedure za exportation.natanguliza shukurani.naomba ushauri wenu.
Mkuu umenifumbua macho sana mi mwenyewe nilikua nafikiria kuhusu hilo swala la kusafirisha vyakula nje ya nchi,umenifundisha kitu,nashukuru.Mkuu Una uelewa na mambo ya Internatinal Trade? Kuuza nje bidhaa hasahasa chakula si swala la kitoto mkuu ni kazi ngumu sana na yenye prcess ngumu sana,
- Kwa nchi za ulaya na Marekani ndo balaa kabisa, na ukikuta mtu amepewa kibali cha kuingiza vyakula ulaya au marekani basi jua kapambana sana na si kupambana kwa rushwa,
- Hizo biashara ni bora kwanza ukaanza na Domstick Mareket kwa sababu moja ya vigezo vya kupewa kibali ni je unauza wapi biadhaa zako? wakikuta ndo unaenda kuanzia kwao hawakupi hata siku moja.
- Intrenatinal trade ni compicated sana na ningekushauri hizo asali uzia kwaza Tanzania ukisha pata uzoefu wa Soko la ndani ndo uanze kuatafuta kenya na Uganda then ndo uangalie Ulaya na marekani,
- Na moja ya watu ku export bidhaa nje ni kwwamba soko la ndani limejaa so wana tafuta nje, saa je soko la ndani lisha jaa?