Hongera Aggrey Mwanri kwa kustaafu

Hongera Aggrey Mwanri kwa kustaafu

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Kwa roho na moyo wa dhati nampongeza waziri huyu wa zamani wa TAMISEMI na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora.
nimewahi kumshuhudia akiwa mkuu wa wilaya ya Arusha(Kwa sasa ndio jiji la Arusha)
aliacha alama ya miti mingi ya kivuli inayoifanya Arusha ya leo kuwa green na yenye kivuli.

Nimesikia amefanya haya Tabora...Mungu amlipe mema.

Pia namtambua kama mentor muhimu wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi kijana mchapa kazi Jaffo...nyendo za kusimamia ujenzi bora wa majengo ya Serikali haswa shule na vituo vya afya ziliwekewa milestone na Aggrey Mwanri...hili alilionesha tena akiwa Tabora..kwa kuwaweka kati mainjinia na wakandarasi...he built a culture ya usimamizi he also managed to greenfy Tanzania.
Pia aliweza kujenga hospitali ya mfano pale SIHA

Mungu amuongoze kwa hatua anayoelekea.
 
Mimi siyo mwana ccm wa kusifia kila kitu ila huyu jamaa aliikuna nafsi yangu akiwa mbunge. He was first-class and special historian in the parliament. Ila ukuu wa mkoa ukamfanya achizike. Akiichambua hoja kihistoria utapenda.
 
Akipita kwenye ubunge nashauri ateuliwe kuwa waziri wa mazingira.Alipambana sana kuifanya Tabora kuwa ya kijani kwa kupanda miti na kuitunza,tofauti na wakuu wa mikoa wengine ambao huonekana siku ya upandaji miti kitaifa baada ya hapo hawaonekani tena!
 
Kwa roho na moyo wa dhati nampongeza waziri huyu wa zamani wa TAMISEMI na aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Tabora.
nimewahi kumshuhudia akiwa mkuu wa wilaya ya Arusha(Kwa sasa ndio jiji la Arusha)
aliacha alama ya miti mingi ya kivuli inayoifanya Arusha ya leo kuwa green na yenye kivuli.

Nimesikia amefanya haya Tabora...Mungu amlipe mema.

Pia namtambua kama mentor muhimu wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi kijana mchapa kazi Jaffo...nyendo za kusimamia ujenzi bora wa majengo ya Serikali haswa shule na vituo vya afya ziliwekewa milestone na Aggrey Mwanri...hili alilionesha tena akiwa Tabora..kwa kuwaweka kati mainjinia na wakandarasi...he built a culture ya usimamizi he also managed to greenfy Tanzania.
Pia aliweza kujenga hospitali ya mfano pale SIHA

Mungu amuongoze kwa hatua anayoelekea.

Kitu pekee ambacho naweza Kumpongeza Mzee huyu ni kwamba amefanya Kazi yake vyema na kwa Uadilifu mkubwa na Kastaafu hada pia Doa.
 
Akipita kwenye ubunge nashauri ateuliwe kuwa waziri wa mazingira.Alipambana sana kuifanya Tabora kuwa ya kijani kwa kupanda miti na kuitunza,tofauti na wakuu wa mikoa wengine ambao huonekana siku ya upandaji miti kitaifa baada ya hapo hawaonekani tena!
Hata Arusha alipokuwa DC alipanda miti haswa na kuhuisha mandhari ya Jiji hilo.
 
Nilimdharau sana na kumpuuza kabisa aliposema kuwa Mungu aje amshukuru Magufuli
Mungu yupi huyo? Mungu mliokua mkimdhihaki na kumkebehi wazi wazi bila hofu kipindi Magufuli anahimiza watu kuomba sababu ya Corona

Hakuna kipindi wapinzani walimkashifu Mungu kama kipindi kile na ghadhabu ya Mungu itawaka juu yenu milele.

Kigogo keshapata mshahara wake
 
Hivi kwa Mh. Mwanri unaonaje akichukua mikoba ya Urais akiondoka Magufuli?

Aendeleze mziki ule ule kuupandisha gurudumu la maendeleo ya nchi yetu
 
Mungu yupi huyo? Mungu mliokua mkimdhihaki na kumkebehi wazi wazi bila hofu kipindi Magufuli anahimiza watu kuomba sababu ya Corona

Hakuna kipindi wapinzani walimkashifu Mungu kama kipindi kile na ghadhabu ya Mungu itawaka juu yenu milele.

Kigogo keshapata mshahara wake
Waambie hao
 
Back
Top Bottom