ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Si kutegemeaa na wewe ungeruka kwa Furaha hizi najua ni ugeni wa Mambo haya kwenu! Ila sisi tushazoea Madawati 600,msikiti,wasanii rayvanny,harmonize! Na mengine MengiOyooooooo that's my Ali Kiba.
Nani kasema Kiba hana pesa?
Afadhali umewafunga midomo,kelele zilikuwa nyingi.
Ila nikujuavyo...hunaga makuu.
Naamini umetoa kwa moyo mkunjufu kabisa,na sio mashindano.
Ubarikiwe.
Acha uongo! Mond alipost check akionesha akimkabidhi kiasi kilikuwa hakionekani na hakuandika sh.ngapi wao GSM ndo waliandaaa Leta picha hapa tuone hiyo risiti unayo sema wewe Mond alipost ikionesha Risiti! Acha kusema Mond anapenda Sifawatu naona povu linawatoka ila hamjui kuwa alikiba ni mara ya pili kutoa.Mara ya kwanza kipindi cha ramadhani alitoa mchango ila hapendi sifa,hii ni mara ya pili kama una akili timamu utajua GSM ndio walikuwa wa kwanza kupost mchango wa alikiba kabla ya yeye kufanya hvyo alikiba alipost usikukabisa wakt alitoa asubuhi na GSM walipost saa 6:30:49mchana,alf GSM waliweka na kiasi ambacho alikiba alichangia kuwa ni sh 21000000 wakati yeye hajapost kiasi chochote kila alichotoa.Kama hujui mondi alipost hadi risiti .
MYTAKE tucipende kuwashindanisha hawa watu ni watu wawil tofauti 1)kiba hapendi sifa ya kuweka kila jambo lake wazi wkt mondi kila kitu kipo wazi 7bu aboost.
2)kiba anafanya kazi bila kelele wkt mondi kelele nyingi.
3)kiba kachukua tuzo lkn hajapost hata ktk official accnt zake wakt mondi watu wangeenda kumpokea uwanja wa ndege kumshangilia.
3)kiba alifika kimataifa kabla ya msanii yyte bongo kimziki lkn hakujikweza na hilo sasa hv analithitisha kwa kufanya kwa mara zingine wkt mond kilo pande anaongea .
4)kiba anafanya vzr kimataifa mfn#aje 02@trace-urban,mtv inakimbiza,soundcity, ila yupo kimya.
5)kiba mwanaume mondi mvulana
Umesahau 7 annoucements?,hivyo vituo ndo unajisifu kuwa kafika kimataifaaa hadi Vanessa mdee yuko huko,John makini yuko huko! Wakati mond yupo BBC na BET!, Alikuwa wa kwanza kufika kimataifa kwa wimbo upi One 8 au? Ambayo unapelekewa msanii au?, kiba hashangili tuzo eti? Mondi ana chumba cha tuzo tuuu! Ficha ujinga wako wewewatu naona povu linawatoka ila hamjui kuwa alikiba ni mara ya pili kutoa.Mara ya kwanza kipindi cha ramadhani alitoa mchango ila hapendi sifa,hii ni mara ya pili kama una akili timamu utajua GSM ndio walikuwa wa kwanza kupost mchango wa alikiba kabla ya yeye kufanya hvyo alikiba alipost usikukabisa wakt alitoa asubuhi na GSM walipost saa 6:30:49mchana,alf GSM waliweka na kiasi ambacho alikiba alichangia kuwa ni sh 21000000 wakati yeye hajapost kiasi chochote kila alichotoa.Kama hujui mondi alipost hadi risiti .
MYTAKE tucipende kuwashindanisha hawa watu ni watu wawil tofauti 1)kiba hapendi sifa ya kuweka kila jambo lake wazi wkt mondi kila kitu kipo wazi 7bu aboost.
2)kiba anafanya kazi bila kelele wkt mondi kelele nyingi.
3)kiba kachukua tuzo lkn hajapost hata ktk official accnt zake wakt mondi watu wangeenda kumpokea uwanja wa ndege kumshangilia.
3)kiba alifika kimataifa kabla ya msanii yyte bongo kimziki lkn hakujikweza na hilo sasa hv analithitisha kwa kufanya kwa mara zingine wkt mond kilo pande anaongea .
4)kiba anafanya vzr kimataifa mfn#aje 02@trace-urban,mtv inakimbiza,soundcity, ila yupo kimya.
5)kiba mwanaume mondi mvulana
Facts... Niko London hapa ninafuatilia bbc Playlist na nimeona ule wimbo wa Kidogo wa Chibu.. very impressiveUmesahau 7 annoucements?,hivyo vituo ndo unajisifu kuwa kafika kimataifaaa hadi Vanessa mdee yuko huko,John makini yuko huko! Wakati mond yupo BBC na BET!, Alikuwa wa kwanza kufika kimataifa kwa wimbo upi One 8 au? Ambayo unapelekewa msanii au?, kiba hashangili tuzo eti? Mondi ana chumba cha tuzo tuuu! Ficha ujinga wako wewe
Kama ulikuwa hujui idadi ya pair ya viatu vya alikiba ni sawa na idadi ya Tuzo za Diamond Za kimataifa!
Hata Kama hajapost kiasi lakini reality domo anapenda sifa Sana kila anachofanya anaweka waziAcha uongo! Mond alipost check akionesha akimkabidhi kiasi kilikuwa hakionekani na hakuandika sh.ngapi wao GSM ndo waliandaaa Leta picha hapa tuone hiyo risiti unayo sema wewe Mond alipost ikionesha Risiti! Acha kusema Mond anapenda Sifa
Acha kukariri siyo lazma kutoa msaada ujionyeshe kwenye media, ulisha wahi kumwona Mzee wa Azam akiuza sura kwenye media akitoa misaada? japo ndiyo anaeogoza kwa kutoa misaada!Alikuwa wapi sikuzote? Na uliwah muona lini na wap akitoa?
Ww jambaz nkikuona tu nakunyanganya silahaAcha kukariri siyo lazma kutoa msaada ujionyeshe kwenye media, ulisha wahi kumwona Mzee wa Azam akiuza sura kwenye media akitoa misaada? japo ndiyo anaeogoza kwa kutoa misaada anatoa!
Kaiba wap andika vitu vyenye uwakika hapa sio uwanja wa udaku wa kijinga tuletee ushahidi wa ulichokiandika usiwe unachafua watu,wanaume wa dar acheni kutuandikia vitu msivyo na uwakika navyo!Hivi Alikiba zile Millioni 32 alizo Iba sijui kadhurumu amerudisha au ndo hizo anachangia?
Usishangae mkuu, binadamu ndivyo tulivyo. Ukiwa mshabiki wa mtu kupita kiasi unakuwa mjinga. Alikiba katoa msaada kwa mapenzi yake yeye na wala si ushindani. Kutangulia kwa Domo kutoa si kigezo cha kumzui Kiba kutoa pia.Acheni ushamba nyie.
Kwa hiyo mmoja wapo akitoa msaada, mwingine hapaswi kutoa?
Na wewe umeamua kuonesha UJINGA wako unaosabaishwa na USHABIKI wa kike...Usishangae mkuu, binadamu ndivyo tulivyo. Ukiwa mshabiki wa mtu kupita kiasi unakuwa mjinga. Alikiba katoa msaada kwa mapenzi yake yeye na wala si ushindani. Kutangulia kwa Domo kutoa si kigezo cha kumzui Kiba kutoa pia.
Hapo usikute hizo hela hazijatoka mifukoni mwa hao wasanii ila kwa kua GSM Foundation wanataka tengeneza brand itambulike zaidi wamewapa mpunga hao jamaa na wajifanye kama ndo wao wamechangia kwenye foundation
Ukiambiwa ulete ushahidi kuwa walikwepa kodi 2005 hadi 2015 utaanza kutumbua mimacho hapa!GSM walitafuna huu uchumi kipindi cha JK left snd right bila huruma...waliigeuza bandari kama kampuni yao binafsi...kontena zoote magufuli alizishika hawa ndio wahusika
Waliharibu uchumi kwa kukwepa kodi tangu 2000 hadi 2015..,hadi wakamwagiwa tindikali machoni
Sasa hiv wapo kny project ya kujisafisha,wanatumia wasanii na mastaa,kujenga PR
Ila hawa jamaa ni hatari...magufuli awadhibiti....ukwepaji kodi wa bil50 kwa mwaka kwa miaka 15 is no joke!
Ukiambiwa ulete ushahidi kuwa walikwepa kodi 2005 hadi 2015 utaanza kutumbua mimacho hapa!