Hongera Alikiba kwa kupata Kofia ya Heshima

abdulhamis

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2019
Posts
1,436
Reaction score
2,296
Team Kiba wote leo imekuwa siku yetu nzuri Baada ya Msanii wetu pendwa Ali Salehe Kiba kutunukiwa zawadi na Rais wetu Mpendwa Dkt. John Joseph Magufuli.

Mimi kama kijana na Mpenzi wa Muziki wa Alikiba Nasema hivi asante Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuonyesha Mapenzi kwa kijana wako na kwa hili jambo Nakuahidi kura yangu ikiwa kama malipo kwako.

Hongera Rais John
 
Kura si malipo
Kura si pongezi kwa jema alilofanyiwa kipenzi chako
Kura ni uchaguzi wa kiongozi
Mchague Rais kama kiongozi, na si kwa sababu ya uvishwaji kofia kipenzi chako
 
Hivi ukishakuwa "team fulani" ndio unakuwa una majukumu gani huko kwenye team yenu, na je vipi kuna ujira kidogo mnapata huko? Ebu tupeane fursa hizo.


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
Madikteta mchwara huwa hawana akili kabisa!Yeye anafikiri kukusanya wasanii wote ndiyo CCM itapendwa?CCM ni chawa haiwezi kupendwa kisa eti wasanii wanalazimishwa kwenda huko!
 
Hizo kofia watapewa wote mpka madancer wao
 
Tanzania Hamna mazwzwa kama nyumbu wa chadema wao kama Masai wanaamin ngombe wote ni wa kwao [emoji849][emoji849][emoji849] chadema penden mambo yenu kivyenu na sis tupende vyetu kimpango wetu

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app



Ndio maana nikasema kuna kipindi natamani niwatie watu makofi. Hii nchi sio ya CHADEMA au CCM na usifikiri watu wote ni wafuasi wa hivyo vyama vyenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…