Hongera Askofu Mstaafu Mkude wa Jimbo Kuu la Morogoro Kanisa la Mt. Patrick ( Patrice ) kwa Ukristo huu wa Kizalendo wa Leo

Hongera Askofu Mstaafu Mkude wa Jimbo Kuu la Morogoro Kanisa la Mt. Patrick ( Patrice ) kwa Ukristo huu wa Kizalendo wa Leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
 
Wimbo wa Taifa kanisani? Subiri mkamatwe muambiwe mnachanganya dini na siasa.
Nchi ngumu hii.
 
Wimbo wa Taifa kanisani? Subiri mkamatwe muambiwe mnachanganya dini na siasa.
Nchi ngumu hii.
Nionyeshe ni wapi katika Katiba ya nchi au Sheria za Nchi Kuuimba Wimbo wa Taifa Kanisani au Msikitini au Msibani au katika Sherehe ni Kosa la Jinai na Dhambi.

Huna Akili Wewe.
 
Mkuu unandika habari vizuri kwa ufasaha ila una haribu hapo unapoanza kujisifia japo kujisifia hakukatazwi ila huu wa kwako ni kama wa majigambo hivi


Anyway hongereni kwa utaratibu huo
 
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
Nampenda sana Baba Askofu Telesphory Mkude. Mwaka 1995 nikiwa kiongozi wa wanafunzi Wakatoliki katika shule mojawapo hapo Morogoro nilimtembelea ofisini kwake na kumuomba awe Mgeni Rasmi wa mahafali ya wenzetu Wakatoliki waliokuwa wanamaliza shule. Cha kushangaza alikubali na kuja kwenye mahafali bila hata ya kuandika barua rasmi ya maombi.
 
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
Sondonyinyi mnampigia magoti yule muugizaji mkisema ndo yesu
 
Nafikiri kuna utaratibu wa kanisa katoliki kuimba wimbo wa taifa kila January 1, yaani mwaka mpya.
 
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
Huo wimbo wenu wa Taifa lazima tuufanyie editing, una sound kikatoliki sana jambo ambalo hatuwezi kuendelea kuvumilia.
 
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
Wimbo wa taifa una neti za kuwaombea viongozi wetu wajaliwe hekima, ambayo imekuwa adhimu sana siku hizi
 
Hakika Siku zote Wakatoliki ndiyo huwa tunaanza kwa Kuonyesha njia na wengine Wanaiga.

Leo kama Kawaida nikiwa Ibadani Morogoro katika Kanisa langu Kuu la Katoliki la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) nimeweza kufurahishwa tena na aina ya Ubunifu na Utaratibu wa Kiimani na Kiibada.

Ni kwamba mara baada ya Kumalizika kwa Shughuli zote za Ibada na Askofu Mstaafu Mkude akisubiriwa kuja Kufunga / Kumaliza rasmi Ibada yetu ya Leo alifanya Jambo jema, jipya na la Kizalendo kabisa kama Wewe ni Mtanzania halisi na Uliyetukuka kama Mimi GENTAMYCINE.

Ni kwamba Baba Askofu Mstaafu Mkude alitutaka Waumini wote tumalize Ibada yetu ya Kwanza leo Asubuhi ( Misa ya Kwanza ) kwa Kuimba Wimbo wa Taifa ambapo Kanisa zima tulizizima kwa Furaha na Kuuimba Wimbo wote wa Taifa kwa Kumshukuru Mwenyezi Mungu na Kuiombea na Tanzania yetu Jambo ambalo lilitufanya tuuvae kabisa Uzalendo wa Kweli japo tulikuwa Ibadani.

Asante Baba Askofu Mstaafu Mkude na Asante Mwenyezi Mungu kwa Ibada nzuri ya Leo katika Kanisa lako Takatifu la Mtakatifu Patrick ( Patrice ) Jimbo Kuu la Morogoro na nina uhakika kuwa Wote tuliokuwepo Ibadani na Wakatoliki wote tumebarikiwa na kama Kawaida yetu Wakatoliki wote Tanzania na Duniani tutaendelea tu Kubarikiwa na kuwa ndiyo Vinara wa Imani kwa Wakristo wote duniani.

Ninachopendea Kanisa langu zuri na Takatifu la Katoliki ukiingia hakuna mikelele na wala ukitoka pia husikii mikelele na Ibada nzima inaendeshwa Kisomi na Kiitifaki zaidi huku Ukimya na Nidhamu ndani ya Kanisa na Ibada ukitawala muda Wote.

I'm so proud to be a Roman Catholic!!!!
Morogoro siyo jimbo kuu bali jimbo Katoliki la Morogoro.

Majimbo makuu ni
1. Dar es Salaam
2. Dodoma
3. Mwanza
4. Tabora
5. Songea
6. Mbeya
7. Arusha
Na maaskofu wake wa majimbo haya wanaitwa maaskofu wakuu. Mfano

Askofu mkuu Damian Dalu. Jimbo kuu Katoliki la Songea
 
Back
Top Bottom